do wat u think
JF-Expert Member
- Feb 18, 2017
- 318
- 240
Maana anajua saizi vizuriAise! inaonekana wew ni mtaalamu wa mambo hayo ya matundu
Maana anajua saizi vizuriAise! inaonekana wew ni mtaalamu wa mambo hayo ya matundu
Sawa wakili msomi umeelewekaJinai huwa haifi na uthibitisho tu ukipatikana vizuri utaenda nyea debe! Kuna viti vingine unaweza kunyamaza tu si lazima uweke wazi, unajisifu kweli kufanya jambo la namna hii katika jamii???
Nafikiri huna mtoto, utakapopata mtoto utakumbuka ulichokuwa unakifanya kwa binti huyo na probably mtoto wako watamwanza akiwa na miaka 4...
Kwa mwanangu mzee nikuhakikishie ubongo wako ungekuwa chakula cha funza muda sana...
Halafu wewe unaenda kunyea debe si ndiyo mkuu?umenena,unamtafutia wahuni wanakata kibakio?hii ni nzuri maana atateseka huku anajiona
Huyu jamaa mtaani atakuwa na hatari sana! Wanaukoo wanaweza kumgawana! Atakuwa na wakati mgumu sana!Mrufani kaupiga mwingi na mtoto wa mtu ameliwa, inaumiza sana hii kwa wazazi wa mtoto na mtoto mwenyewe kama tukio ni la kweli.
Kama mrufani alisingiziwa hongera yake kwa kuepuka miaka 30 jela sio mchezo.
....!!Aise! inaonekana wew ni mtaalamu wa mambo hayo ya matundu
....!! Mtake radhi Mkuu Mwenzio !!Aise! inaonekana wew ni mtaalamu wa mambo hayo ya matundu
Hamna ukitoka Jela akili ya kisasi unaitoa wapi? muda uliokaa huko ramani imepotea....lazima ujipange upyaAisee..huyo mrufani inabidi apate watu wakumuweka sawa kisaikolojia kwani anaweza kuwa amekijaza kichwa chake visasi