The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,098
- 50,837
Aisee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mushi unatumiaje teknolojia kwa mambo ya upigaji? Ngoja afunguliwe kesi ya utakatishaji wakati hata sabuni na maji hakua navyoMushi ajiandae kujibu kwa nini amehujumu uchumi na kutakatisha elfu 30. Halafu huyu mchaga pori alivyomjinga alikua wanawasiliana ns hilo popoma jingine kwa sms kutumia simu yake.
MushiNiliposoma jina lake tu mshangao ukaniisha!
Mamndenyi happy new year.
Sio kila Mushi ni mchagga. Kuna Mushi wa Tarime. Huyu si ajabu ametokea Tarime.Mchagga hajawai achia fursa
Haya ya rushwa nida tumepiga kelele tangu 2010 hakuna linalofanyika, na hapa asingekamatwa na dc angepeta tuMamndenyi happy new year.
Hata wewe umeshangazwa na vitendo vya mtani wetu? Anapiga halafu annacha evidence TCRA na Tigo/Airtel. Mchaga wa wapi huyu anavamia fani bila kuuliza.
Sijui kama kuna aliyempelekea mtori au supu ya utumbo wa mbuzi leo. Maana ukifika pale polisi watajisemea, huyu ndio mwenye ndugu yake boya
Huu Ni mgao mrefu usijeshangaa dc ndio akawajibishwa kwa kutibua ulaji, siumeona hili zoezi haramu lilivyokuwa linapuliziwa zumariMushi unatumiaje teknolojia kwa mambo ya upigaji? Ngoja afunguliwe kesi ya utakatishaji wakati hata sabuni na maji hakua navyo
Wenzake kule kwa Jerry Muro walijiongeza wakaiba mashine wakawa wanasajili watu kwenye vichaka huyu anachukua 30 thou na ushahidi juu. Aisee acha akapumzike kwenye gesti ya bure.Haya ya rushwa nida tumepiga kelele tangu 2010 hakuna linalofanyika, na hapa asingekamatwa na dc angepeta tu