Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Aibu gani?
Amkeni.
Nyerere alishakufa.
Wamebaki wezi tu.
Watu wanatoka Pwani na India kuja kuchota madini kwenu. Munaachiwa mashimo na vumbi.
Mumelala.
Wenzenu Mwanza kula mapanki tu wameona ni upumbavu. Wamewamwaga walafi CCM.
Mkoa wenu uko full madini. Lakini ndiyo mkoa unaoongoza kwa vifo vinavyosababishwa na njaa. Aibu gani?
Nyie mnakubali mtu anashinda kwa kura moja?
Kwani mte na masala?
Acheni kutuaibisha bana.
Amkeni.
Nyerere alishakufa.
Wamebaki wezi tu.
Watu wanatoka Pwani na India kuja kuchota madini kwenu. Munaachiwa mashimo na vumbi.
Mumelala.
Wenzenu Mwanza kula mapanki tu wameona ni upumbavu. Wamewamwaga walafi CCM.
Mkoa wenu uko full madini. Lakini ndiyo mkoa unaoongoza kwa vifo vinavyosababishwa na njaa. Aibu gani?
Nyie mnakubali mtu anashinda kwa kura moja?
Kwani mte na masala?
Acheni kutuaibisha bana.