mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,821
- 106,001
Bora mkose wote tuSafi kabisa, mke anauma Sana....kila mtu aoe mke wake nikikufuma na mke wangu nakuuwa....
Ova
Bora mkose wote tuSafi kabisa, mke anauma Sana....kila mtu aoe mke wake nikikufuma na mke wangu nakuuwa....
Kisheria anapiga miaka michache...ni fumanizi.Anaenda jela mkewe anaendelea kutafunwa na wahuni wengine
R.I.p aliekufa
Na muuaji anaenda kuozea jela wakati jamaa wahuni wengine wanaendelea kumtafuna Mkewe,Kuua kwa Kukusudia, Mshtakiwa anashtakiwa na Jamhuri!Na hiyo ndo adhabu alostahili marehemu, kwani wanawake wameisha aoe wake!!?
Eti kosa lake ni wivu wa kimapenzi sio kuua, kosa ni la marehem kutembea na mke wa mtu
Safi kabisa, mke anauma Sana....kila mtu aoe mke wake nikikufuma na mke wangu nakuuwa....
Ila upumbavu zaidi ni kufungwa jela kwa sababu ya wivu wa kimapenzi,hapo ndipo upunguani wa mtu hudhihirika wazi. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza ku react kama taahirika kisa kafumania, ni mazumbukuku na washamba wa mahusiano ndiyo hu'react kijinga na kujikuta wameishia jela.Ni mawazo ya mtu mpumbavu pekee kuisambaratisha ndoa yake kwa ufedhuli wake.
Na pia kujinasibu kwamba atafaidi umalaya mumewe akiwa jela inadhihirisha huyo si mwanamke wa kuoa ila ni mchuuzi wa ngono na kuna uwezekamo hao hao atakaowafaidi kwa ushabiki wako wa kijinga watammaliza.
Binafsi naamini kusherehekea tabia za aina hiyo ni dalili za upumbavu na ni ujinga ipo siku atauwawa na haohao wanaume wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakua kawekwa ndani kwaajili yakulinda usalama wake,na siyo kwamba atafungwa,kesi za hivyo sijawahi kusikia au kushuhudia kufungwa kwa aliyeua.Kama ni mfanyakazi wa umma,atahamishwa kikazi,mke wa mtu siyo mzuri wadau.Kesi imeisha..mwisho wa siku utasikia “mtuhumiwa alitenda kosa akiwa bila kikusudia au hakuwa katika hali ya kawaida kipindi akitenda kosa”
Kesho kutwa tu atarudi mtaani..ila njema ime r.i.p
Nadhani una nyota ya ukahaba ni bora usioleweIla upumbavu zaidi ni kufungwa jela kwa sababu ya wivu wa kimapenzi,hapo ndipo upunguani wa mtu hudhihirika wazi. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza ku react kama taahirika kisa kafumania, ni mazumbukuku na washamba wa mahusiano ndiyo hu'react kijinga na kujikuta wameishia jela.
Ulivyo mwanamke kahaba unafikiri kila mtu ni mwanamke mwenzio, you're so pathetic.Nadhani una nyota ya ukahaba ni bora usiolewe
Mimi si mwanamke kwani hilo gubu la uke wenza ulilo nalo mlenge mke mwenzio, naona mumeo hajatulia ndiyo maana unapanic kifalafala.Nadhani una nyota ya ukahaba ni bora usiolewe
Basi wewe utakuwa unatabia ya kutembea na wake za watu ndio maana linakuuma kwa hatua kali mwanachama mwenzako kushughulikiwa. Oa, acha ujinga wakudandia wake za watu.Mimi si mwanamke kwani hilo gubu la uke wenza ulilo nalo mlenge mke mwenzio, naona mumeo hajatulia ndiyo maana unapanic kifalafala.
Kwa taarifa yako nina mke na watoto ambao labda ni umri wako, baada ya kuyasema hayo bado sikubaliani na upumbavu wa kuua mtu ambaye mke wangu atakuwa amemvulia kwa hiyari yake.Basi wewe utakuwa unatabia ya kutembea na wake za watu ndio maana linakuuma kwa hatua kali mwanachama mwenzako kushughulikiwa. Oa, acha ujinga wakudandia wake za watu.