Watu wenye hasira na imani kali kama hawa tunatakiwa tuwatumie kuing'oa CCM madarakani.
Hapo ndipo unapokosea. Inatakuwa kuuvaa ujasiri huu na si kuwatumia wengine.
Ndiyo maana maandamano yanaitishwa wengine wanasubiri wengine waende.
Wengine wapi sasa?