Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Vyesi"! Kumbe neno "kesi" lina wingi!Na ni hizo process zilizoifanya mfumo wetu wa haki kuwa wa hovyo kabisa.
Kesi kama hii utajaona inachukuwa miaka kuisha. Kesi hii haikupaswa kudumu mahakamani hata kwa mwezi moja, kuondoa mrundikano wa vyesi mahakamani .
Hujapata mnyamwezi aliyefundwa.Kitendo cha kuingia kwenye ndoa, ina maana unakaribia kupata kifungo cha maisha gerezani
Mimi sipendi kujiingiza kwenye vitu vya hatari kama hivyo, Kama utamu na utelezi umejaa mtaani
Mimi mwenyewe mnyamwezi vilevile na huyo anaekufanyia mambo yote hayo, siku akichepuka na ukijua ni rahisi kumkata na mapangaHujapata mnyamwezi aliyefundwa.
Siku ukimpata utajilaumu mbona ulichelewa kuoa.
Ahahahaaaa uangalie na avatar wengine ni wale Kiswahili kinatuona ."Vyesi"! Kumbe neno "kesi" lina wingi!
... bila kusahau wapakistan of course ndio hao hao wahindi.
... wapakistani wana kitu wanaita "kulinda heshima" ya familia; visichana vinakatwa shingo kila siku huko hayo ya Shinyanga cha mtoto!Wapakistan pia japo co saana kama wahindi, haya mabudha/mabaniani ndiyo yameshika nchi, ni makatiri na yanaroho mbaya sana mkuu. Waisilamu wananyanyaswa sana huko india, refer yanayoenderea utatokwa machozi.
Hai apply kama mtuhumiwa mwenyewe ame confess. Kama angekuwa anayakana mashtaka basi ndio inahitaji ushahidi ili kumpata na makosa. Kama ame confess mwenyewe ushahidi wa nini sasa?Kesi ni process mkuu lazima watafutwe mashahidi zaidi ya mmoja aliyeshuhudia tukioa sio kuambiwa, Polisi walienda baada ya mtuhumiwa kujipeleka so lazima wajiridhishe watachoiambia mahakama, na ushahidi wao usiache shaka.
Msaliti kakimbilia kwa balozi. Jamaa likamfata huko huko!safi sana, iyo ndiyo dawa ya msaliti
Bado itahitajika uchunguzi/ upelelezi sio rahisi kama unavyodhani yaani hata kama angeua mbele ya mwendesha mashtaka na jaji bado uchunguzi lazima ufanyike, wanasheria watatusaidia kuelewaHai apply kama mtuhumiwa mwenyewe ame confess. Kama angekuwa anayakana mashtaka basi ndio inahitaji ushahidi ili kumpata na makosa. Kama ame confess mwenyewe ushahidi wa nini sasa?
... uko sahihi. Mojawapo ya document muhimu kwenye kesi za jinai mahakamani ni Hati ya Mashtaka yaani Charge Sheet ambayo ina maelezo yote muhimu kuhusiana na kesi husika ikiwemo taarifa za vyombo mbalimbali vinavyohusika. Kwa mfano, ni lazima daktari wa magonjwa ya akili athibitishe kama mhusika yuko sawasawa kichwani, n.k.Bado itahitajika uchunguzi/ upelelezi sio rahisi kama unavyodhani yaani hata kama angeua mbele ya mwendesha mashtaka na jaji bado uchunguzi lazima ufanyike, wanasheria watatusaidia kuelewa
Asante kwa maelezo mkuu.... uko sahihi. Mojawapo ya document muhimu kwenye kesi za jinai mahakamani ni Hati ya Mashtaka yaani Charge Sheet ambayo ina maelezo yote muhimu kuhusiana na kesi husika ikiwemo taarifa za vyombo mbalimbali vinavyohusika. Kwa mfano, ni lazima daktari wa magonjwa ya akili athibitishe kama mhusika yuko sawasawa kichwani, n.k.
Charge Sheet haiwezi kuwa na just maelezo eti MTUHUMIWA ALIKIRI! Pamoja na kukiri mwenyewe kwa mfano na daktari pia kuthibtisha ni mzima kichwani; je, hapakuwa na force nyingine behind? Kwa mfano, hapakuwa na wahusika wengine walioshirikiana na mhusika kupanga mauwaji hayo? Hawa nao ni lazima wapatikane na kufikishwa mahakamani. Utawapataje bila uchunguzi? Chaliifrancisco