Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,383
- 3,570
Nilihisi kupona kabisa baada ya kujifukiza moshi wa mavi ya tembo, ko nikaona wasihangaike kuja kunichukua wakati nahisi kupona mafua.Mkuu unadhani huyo mtuhumiwa baada ya kupiga simu na kudai kua ana maambukizi ya Corona ni kwanini aliiharibu laini yake ya simu kwa kuivunja vunja? umejiuliza hilo swali?
Sent using Jamii Forums mobile app