chollemadulu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2013
- 257
- 78
Sisi wananchi kishapu kata ya maganzo hatuna umeme leo siku sita tunalala giza meneja upo kimya kama meshindwa kutuwashia umeme kwa wakati toa taarifa sasaivi haieleweki lini mtawashia sijui mtafidia gharama zetu tunazo tumia kukunua mafuta sasa nashauli wizara husika ilione hili tatizo kubwa kwao asanteni