Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,769
- 93,547
Waliagizwa siku ya kuapishwa na mkuluHivi hawa ma DC wa sasa wanatumia sheria gani ambazo hazikuwepo awamu zilizopita? Huu ushamba ulioanzia juu unakuja kwa kasi sana chini. Hili jambo likomeshwe kwa nguvu zote.
Sii waende Kibiti wakatumie hiyo sheria nasi tutawaona wanajua kazi kweli?