sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,283
- 976
Ni shindano bovu kuliko yote duniani, kati ya yale ya kutafuta wenye vipaji vya muziki.. Sijui washiriki wamewatoa wapi.. Mbaya zaidi zawadi ni kubwa mno, shilingi milioni 50!!!
Isijekuwa ni hela ya kodi zetu, maana hakuna matangazo ya wadhamini toka limeanza!
Majaji ni:
Masoud Masoud
Miriam Migomba
na wengine wawili..
Kinachoboa zaidi, kipindi kinarudiwa leo j3 asubuhi, badala ya kutangaza mambo ya msingi ya kitaifa muda huu!
Too local hii channel!!
Isijekuwa ni hela ya kodi zetu, maana hakuna matangazo ya wadhamini toka limeanza!
Majaji ni:
Masoud Masoud
Miriam Migomba
na wengine wawili..
Kinachoboa zaidi, kipindi kinarudiwa leo j3 asubuhi, badala ya kutangaza mambo ya msingi ya kitaifa muda huu!
Too local hii channel!!