mop
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 867
- 651
Baadhi ya maneno wanayotuambia ni haya:-'Zanzibar tumewafunga Tanganyika,tukawafunga na shemeji zeo kwa Zari',Lakini kuna maneno mengine ni matusi kabisa. Hapa ni zaidi ya mpira hata ukisoma Twit ya Mh.Jakaya Kikwete na majibu aliyopewa na Jusa,utagundua kwamba hapo ni zaidi ya mpira. Wazanzibar wanataka nchi yao kwa nini tunalazimisha muungano? Ni kitu gani sisi Watanganyika tunakipata ktk muungano huo? Ni kitu gani kimejificha nyuma ya muungano ambacho Watanganyika hatukijui?