saliel
Member
- Apr 11, 2011
- 84
- 18
je ni yupi kati ya hawa ni bingwa wa kusahau
1. jamaa alikua amelala akaamka walipokua amekaa akanza kufikiria juu ya kuwa ni jambo gani alilokua akifanya kwa wakati ule akawa anajiuliza,"hivi nilikua ninalala au naamka".
2.jamma wapili alikuwa anapanda ngazi alipofika katikati akasahau kuwa alikua anapanda au anashuka ngazi.
waungwana naomba mnisaidie kuwa ni yupi kati ya hawa wawili ni bingwa wa kusahau
nawasilisha
1. jamaa alikua amelala akaamka walipokua amekaa akanza kufikiria juu ya kuwa ni jambo gani alilokua akifanya kwa wakati ule akawa anajiuliza,"hivi nilikua ninalala au naamka".
2.jamma wapili alikuwa anapanda ngazi alipofika katikati akasahau kuwa alikua anapanda au anashuka ngazi.
waungwana naomba mnisaidie kuwa ni yupi kati ya hawa wawili ni bingwa wa kusahau
nawasilisha