Shilole: Nitagombea ubunge uchaguzi wa mwaka huu

Hakika naitazama ccm ikipoteza mvuto hata kwa sisi makada wake muhimu.

Shilole anatarajiwa kugombea ubunge hapa kwetu igunga na kwa hali ilivyo ndani ya chama chetu atapitishwa tu.

Harmonize atapitishwa kule Tandahimba hiyo haina ubishi, maana mwenye chama kasema.

Mimi na makada wenzangu wenye msimamo wa kati ndani ya ccm tumeanza kujiweka kando ili kuwapisha wabunge hawa wasanii ili wakafanye usanii pale bungeni dodoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Muhimu kuwa na machangudoa bungeni, ili waweze kuwahudumia wazee
 
Hakika naitazama ccm ikipoteza mvuto hata kwa sisi makada wake muhimu.

Shilole anatarajiwa kugombea ubunge hapa kwetu igunga na kwa hali ilivyo ndani ya chama chetu atapitishwa tu.

Harmonize atapitishwa kule Tandahimba hiyo haina ubishi, maana mwenye chama kasema.

Mimi na makada wenzangu wenye msimamo wa kati ndani ya ccm tumeanza kujiweka kando ili kuwapisha wabunge hawa wasanii ili wakafanye usanii pale bungeni dodoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Shilole na mbunge wa Kawe wana tofauti gani?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom