PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,522
- 13,110
Shilole amesema Baba Levo anamchukulia kama mwanamke mwenzake kwani anaweza akalala naye kitanda kimoja asimfanye kitu.
Nafikiria nikamfungulie kesi mahakama ya ICC huyu Baba LevoBaba levo ujumbe umeupata ufanyie kazi.
Mi sikubali...
Hahahah huyo baba levo ameyataka mwenyewe .
Hakunaga urafiki wa kawaida kati ya mwanaume na mwanamke
Anawawakilisha wanaume kutoka kigoma.Nafikiria nikamfungulie kesi mahakama ya ICC huyu Baba Levo