Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,721
Mpumbavu huyo, ntasikitika sana kama bado anakupasua kichwa hadi sasa!Haa ha ha...aisee kuna demu wangu alikuwa ana tabia ya kutaka nimrudishie zawadi alizonipa tukigombanaa tu anaanza huo usengee.. Siku akanimbia eti tuchange tuanzishe bisharaa mara sijui tujenge msingi kwenye kiwanja chakee me namchoraaa tuuu ila nishajua ni mtu wa aina ganiii