Baljurashi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,296
- 2,145
Unachojaribu kukifanya wala hakitokusaidia. Wala hakijawahi kuwasaidia watu mfano wako waliopita. Allah akuongoze.uchebe ni muislamu na quran inaruhusu wanawake kupigwa.nikushangae unayepinga maandiko ya dini isiyokuhusu.wewe ni nani upinge maandiko ya waislamu?? waislamu wakusikilize wewe au waisikilize quran?