Shilole acha kununua vijana na kuwatumikisha kingono

kabingo

Senior Member
Oct 16, 2015
115
118
Huyu msanii anaejiita Shilole binafsi simpendi kwa tabia yake ya kununua vijana hasa hawa wavivu wa kufanya kazi na kuwaoa na kuwatumikisha kingono, kuna huyu dogo ambae amemchukua anaitwa Adamu hadi anatia huruma bora hata yule wa zamani Mziwanda kidogo alikuwa anajiamini japo kwa mbali, sio huyu wa sasa maana hata shoga anaafadhali.

Hivi hasa huyu Shilole anawadanganyia nini hadi wanajikuta vijana wananga'ta nga'ta vidole huku Shilole akihiojiwa na media kuhusu hawa anao waita wapenzi wake. Alafu hawa vijana inaonekana ni wa nitaani yaani hawana wazazi. Hakuna mzazi atakubali kuona mtoto wake wa kiume akiolewa na kugeuzwa mwanamke mbele ya mwanamke huku mwanamke akitamba kuwachuka kirahisi.

Wewe unayejiita Adamu unajitia aibu wakati unauwezo wa kutafuta maisha yako. Jiandae akisha kutema Shilole uwe tayari kuaibika.
 
Kila siku tunasisitiza pictures ili tumwone huyo Adam Kama kweli ni dogo ila Kama yuko above 18 basi hakuna jipya ni mapenz ya binadamu wenzako..waache wenzetu wafanye yao
 
Nahisi ulikuwa unafukuzia nafasi kwa shishi baby ila Adamu amekuzidi kete any way ni ndoto toba usije nipeleka keko au kisongo kule ambapo waotaji hupelekwa kuhifadhiwa
Nakupa pole maana naona.na wewe sample ya wale wale ganda la ndizi
 
Mim naona Adam anafaidi pesa anakula na k anapata shida wap sasa,kuliko kuchukua demu unagharamika halafu K unapewa kwa msimu huo ndyo utumwa
 
na mkumbuka man fongo... na kibao chake

'zamu ya nani leo!, zamu ya man fongo... subiri zako kesho, nanii kapita yule kapita, tamisemi kapita...'
 
Wacha vjana wa dar walelewe kwa raha ww kama ulikula za uso jarbu kwa wema


Nb ,,mm nkifanikiwa kumpata kidot niivoo na umalaya nastop namuoa kabisa mtt yule
 
Mimi sioni kosa lake, Kwani hao vijana yeye kawashikia mtutu au wanamfuata wenyewe?
Hawajatumikishwa hao wamependa wenyewe.
 
Huyu msanii anaejiita Shilole binafsi simpendi kwa tabia yake ya kununua vijana hasa hawa wavivu wa kufanya kazi na kuwaoa na kuwatumikisha kingono, kuna huyu dogo ambae amemchukua anaitwa Adamu hadi anatia huruma bora hata yule wa zamani Mziwanda kidogo alikuwa anajiamini japo kwa mbali,sio huyu wa sasa maana hata shoga anaafadhali. Hivi hasa huyu shilole anawadanganyia nini hadi wanajikuta vijana wananga'ta nga'ta vidole huku shilole akihiojiwa na media kuhusu hawa anao waita wapenzi wake. Alafu hawa vijana inaonekana ni wa nitaani yaani hawana wazazi. Hakuna mzazi atakubali kuona mtoto wake wa kiume akiolewa na kugeuzwa mwanamke mbele ya mwanamke huku mwanamke akitamba kuwachuka kirahisi. Wewe unayejiita Adamu unajitia aibu wakati unauwezo wa kutafuta maisha yako. Jiandae akisha kutema shilole uwe tayari kwenda pale kwenye bar ya Ben pub kinondoni maarufu kwa mashoga.
Weka picha ya Adam
 
mbona naona kama mleta uzi una chuki zako binafsi dhidi ya huyo adamu ,
 
Shilole kama ananunua vijana binafsi aje anibebe tu bure. Namuelewa sana.
 
kama hao vijana wapo below 18 hapo kweli aache lakin kama wako above 18 Uzi wako hauna maana
 
Mkuu hizo mambo zinatokea huko kwenu na kwa ujumbe huu nina wasiwasi kuwa wewe mwenyewe huna kazi za kufanya unafuatilia ya watu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom