Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,359
Hatari kubwa sana ya kiuchumi inatusogelea, jioni ya leo baadhi ya maduka ya kubadili fedha za kigeni yalikuwa yananunua dolari kwa Tshs 1,700.
Sijui benki kuu ya Tanzania inachukua hatua gani madhubuti kujaribu kuzuia halii hii?
Sijui benki kuu ya Tanzania inachukua hatua gani madhubuti kujaribu kuzuia halii hii?