deepsea
JF-Expert Member
- Aug 10, 2013
- 3,288
- 939
Haya ameyasema muda mfupi bungeni mh James Mbatia akiwakilisha maoni ya kambi ya upinzani bungeni,na akasema kwenye soka dhidi ya pesa za kigeni imedoka kwa 35%. Serikali hii inatupeleka wapi?hata burundi walioko kwenye mapigano huku wengine kati waliotufikisha hapa wanakimbilia ikulu?