comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,171
- 5,905
Yaani watu waache wake zao na waume zao usiku kuja kuhakiksha mnaondoka halafu mnakuja hapa na oh posho sijui nini. Kwanza hiyo posho lazima ilipwe na machinga wote walazimishwe kuifidiaHizo pesa si zinatosha kabisa kuwajengea miundombinu mizuri hao Machinga.
Waziri Ummy fuatilia Hawa na ikibainika watimue hao Wakurugenzi.