Shilingi Milioni 251 zatengwa kulipana posho kuondoa machinga Jiji la Mwanza,wanaolipwa CD, DC na wenzao

E892911A-66DA-4BC9-A369-DCDF9AAD25CC.jpeg
 
USILALAME HOVYO, MUDA MLIPEWA WA KUFANYA MABADILIKO, MKAAMBIWA WANATUCHELESHA HAO, SASA NI SPEED YA ROCKET TUUU KILA KONA.
 
Perdiem kwa siku kwa mtu 1 utakuta laki 3 utaazaje kushindwa kuwatoa machinga kwenye barabara
 
Ndugu yangu ngoja ni kwambia kitu DUNIA hii unayo iona haina Usawa popote uendapo kwahiyo jua hilo kwanza sio ULAYA,ASIA au kungine kokote ukujuapo hii ndio formula ya DUNIA.

Fanya jitihada ktk maisha yako kama ukipata uwezo fanya safari sn kwenda NCHI zingine utajifunza mambo mengi sn ktk maisha haya ya ulimwengu wa FUJO then utajua kuappreciate mambo mengi sn ktk maisha.
Unachoeleza na nilichocomment ni tofauti.

Mimi nimetembea sana na hata sasa hivi nipo Kenya.

Nchi yoyote ambayo haina udhibiti wa rushwa na wizi serikalini, hiyo nchi huanguka.

Europe moja ya sababu kubwa kuwa walipo hadi sasa ni kutokana na udhibiti mkubwa wa pesa za umma
South Africa miezi michache tu iliyopita walimfunga aliyekuwa raisi wao sababu ya rushwa na wizi wa pesa za serikali.
Lengo ni kudhibiti Hilo kwa namna yoyote.

Serikali ikishindwa kudhibiti rushwa na wizi wa pesa zake, itashindwa kufanya Jambo lolote la Maendeleo.

Hadi leo Tz tupo hapa sababu ya Hilo, kila kiongozi akiingia anawaza kuiba na kuondoka.
 
Tumesikia lakini hameni kwanza mmeziba njia za watembea kwa miguu, barabara na mitaro,msitafute huruma za watu.
 
Unachoeleza na nilichocomment ni tofauti.

Mimi nimetembea sana na hata sasa hivi nipo Kenya.

Nchi yoyote ambayo haina udhibiti wa rushwa na wizi serikalini, hiyo nchi huanguka.

Europe moja ya sababu kubwa kuwa walipo hadi sasa ni kutokana na udhibiti mkubwa wa pesa za umma
South Africa miezi michache tu iliyopita walimfunga aliyekuwa raisi wao sababu ya rushwa na wizi wa pesa za serikali.
Lengo ni kudhibiti Hilo kwa namna yoyote.

Serikali ikishindwa kudhibiti rushwa na wizi wa pesa zake, itashindwa kufanya Jambo lolote la Maendeleo.

Hadi leo Tz tupo hapa sababu ya Hilo, kila kiongozi akiingia anawaza kuiba na kuondoka.
Posho za vikao sio wizi wala Rushwa naoana ndugu yangu tunaongea LUHGA tofauti lkn unayo haki ya kuamini unacho kiamini na kama upo KENYA na unaishi huko unge appreciate TANZANIA hao watu ndio wafuasi wakubwa wa CAPITALISM na Wizi na Rushwa huko naona ktk EA ndio kuna nuka hasa anyway mchana mwema brother.... keep it up brother make sure una wacha watoto wako kwenye mfumo wa kujitambua wao kwanza.
 
Milioni 251 zatengwa kulipana posho kuondoa machinga Jiji la Mwanza.

Wanaolipwa CD, DC na wenzao

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida jiji la Mwanza limetenga Sh. milioni 251 kwa ajili ya kulipana posho watumishi wake kwa siku 10 ili kusimamia zoezi la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo maarufu Machinga katikati ya jiji na kwenda maeneo waliyotengewa.

Kadhalika, jiji hilo limetenga Sh. milioni 10 kwa ajili ya kuchimba mtaro wenye urefu wa wa mita 100 katika uwanja wa Mchafukuoga uliokuwa ukitumiwa na shule nane zikiwamo za msingi na sekondari kwa ajili ya michezo ili kuuweka sawa kwa ajili kuhamishia machinga 2500 wa mtaa wa Makoroboi.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, mmoja wa Diwani aliyeshiriki kupitisha bajeti hiyo ya jiji iliyopitishwa Oktoba 5 mwaka huu, alisema fedha hizo ni nyingi, lakini cha kushangaza madiwani asilimia 99 walikubali kuipitisha.

Akizungumza kwa sharti la kutotajwa jina lake, diwani huyo alifunguka kwamba huo ni ufisadi wa kutisha kwa sababu kuhamisha machinga hakuhitaji fedha nyingi kiasi hicho.

Alifafanua kwamba machinga walio wengi wamekubali wenyewe kuhama na huko wanapopelekwa hawajengewi vibanda wala hawalipwi gharama za kuhamisha biashara zao.

"Hizi fedha ni nyingi sana ndugu mwandishi na cha kushangaza hawa madiwani wote walikubali kupitisha bajeti hii ambayo waandishi wa habari walitolewa nje ya kikao cha baraza la madiwani,'' alisema.

Aliongeza kuwa katika bajeti hiyo waandishi wa habari nao wametengewa posho zao ili kuandika mambo mazuri pekee katika zoezi la kuhamisha machinga hao.

Alifafanua kuwa jiji lina magari yenye vipaza sauti ambayo yanapita kila kona walipo machinga na kuwataka wahame na kuwaelekeza sehemu za kwenda, lakini anashangaa kuona fedha hizo zinatengwa kwa ajili ya kuratibu zoezi hilo.

Kuhusu uwanja huo wa michezo, diwani huyo alisema, Serikali ilielekeza maeneo ambayo hayapaswi kupelekwa machinga kuwa ni pamoja na kuvamia viwanja vya shule.

Alisema shule hizo zilizopo kata ya Igogo watoto wake kwa sasa hawatakuwa na sehemu za kuchezea na kwamba kutakuwa na mwingiliano wa watu wengi hatua ambayo inaweza kuharibu masomo ya watoto hao.

Kuhusu kutengwa Sh. milioni 10 kwa ajili kuchimba mtaro na kusambaza udongo katika uwanja huo, alisema kiasi hicho pia ni kikubwa kwa kuwa jiji lina magari na magreda yake ambayo kama yangetumiwa wangeweza kuokoa fedha nyingi.

Akizungumzia kupitishwa kwa bajeti hiyo ya mamilioni, Mkurugenzi wa jiji la Mwanza, Sekiete Yahaya alisema suala hilo siyo kweli na kushindwa kueleza ukweli.

Alipoulizwa kikao cha Oktoba 5 mwaka huu cha baraza la madiwani ambacho kiliitishwa kwa dharura kilikuwa na ajenda gani alikata simu na alipopigiwa hakupokea tena.

Aidha, alipotumiwa ujumbe mfupi wa maneno kutaka ufafanuzi, Mkurugenzi huyo hakujibu kitu siku nzima ya jana.

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Amina Makilagi, alipotafutwa kuzungumza tuhuma hizo, alidai yeye sio anayepanga bajeti ya Jiji la Mwanza ambapo awali Mkurugenzi wa Jiji hilo Yahaya alidai zoezi hilo linaratibiwa na Mkuu huyo wa wilaya.

Zoezi la kuhamisha machinga na kuwapeleka maeneo waliyopangiwa linaendelea jijini Mwanza na linatarajia kukamilika Oktoba 14 mwaka huu.
Haya ndiyo mojawapo ya matumizi ya tozo za miamala tunazolipa. CCM Oyeeeeee!
 
Unajua shida sio kulipana, Bali je hayo malipo ni sahihi?
Kumbuka huu sio wivu Wala roho mbaya kwa maana matumizi haya ya namna hii ndio yanayozidi kuleta maisha magumu kwa watu wengi.
Fikiria Leo hii kuna sehemu nyingi wagonjwa wanabebwa kwa machela za miti
Wanafunzi wanaendeshe mtumbwi wenyewe kwenda shuleni
Umaskini hauishi kwa kunyima watu posho bana,hyo za maskini zina budget yao
 
Sio rocket science kuona tamaduni za kufanya kazi serikarini zinarudi wapi.

Tanzania sio nchi ya kuendesha kistaarabu; kuna watu wamekuwa waheshimiwa tangia ujanani pengine ndio sababu hawazijui tabia za watanzania halisi.

Ni hivi kwa watanzania utaheshimiwa ukiwa mpole mbele ya watu wanaokujua tu na kwa sababu wana experience ya wewe ukikasirika unabadalika kuwa mnyama wa aina gani.

Watu wasio na experience na ukali wako au ukali wenyewe ukiwa wa mara moja mara moja kuna wapuuzi wengi tu watakujaribu.

Mimi pia ni mpole in real life sasa wanaonijua at personal level na kwa kweli ni wachache wanajua mipaka yao kwenye kunijaribu, nikiwaka especially kama umri unalingana someone is gonna be hurt.

Sasa ukisikia mtu anasema kilatha abc jua hanijui vizuri; hapa nilipo kuna mtu amenijaribu sema anajificha ngoja nimkamate.

Hizi ndio sababu wengine tunasema achana na style ya uongozi wa JK rudi alipoacha Magufuli. Hii sio nchi ya kuwa kiongozi mstaarabu, wanaomsifia mama wana maslahi yao binafsi au bendera fuata upepo.
 
Umaskini hauishi kwa kunyima watu posho bana,hyo za maskini zina budget yao
Hakuna sehemu nimesema watu wanyimwe posho, Bali nimemjibu huyo aliyesema wacha waibe tu
Zingekuwa na budget basi hadi Leo mambo yangekuwa Safi.
Moja ya sababu kwa nini bado tupo hapa ni misallocation ya funds.
 
Wananchi wajinga na wapumbavu ndio source ya mambo ya kijinga.
Tukiwaelimisha humu hawaelewi wanatuona sisi ni wapinzani .
Walipane tu haki yao, anayefanya kazi alipwe ni haki yake.
Umewaelimishaje mkuu?
 
Sisi tunaozunguka nyumba kwa nyumba kuchanja chanjo dhidi ya UVIKO 19 hata bajeti haijapangwa.
 
Milioni 251 zatengwa kulipana posho kuondoa machinga Jiji la Mwanza.

Wanaolipwa CD, DC na wenzao

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida jiji la Mwanza limetenga Sh. milioni 251 kwa ajili ya kulipana posho watumishi wake kwa siku 10 ili kusimamia zoezi la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo maarufu Machinga katikati ya jiji na kwenda maeneo waliyotengewa.

Kadhalika, jiji hilo limetenga Sh. milioni 10 kwa ajili ya kuchimba mtaro wenye urefu wa wa mita 100 katika uwanja wa Mchafukuoga uliokuwa ukitumiwa na shule nane zikiwamo za msingi na sekondari kwa ajili ya michezo ili kuuweka sawa kwa ajili kuhamishia machinga 2500 wa mtaa wa Makoroboi.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, mmoja wa Diwani aliyeshiriki kupitisha bajeti hiyo ya jiji iliyopitishwa Oktoba 5 mwaka huu, alisema fedha hizo ni nyingi, lakini cha kushangaza madiwani asilimia 99 walikubali kuipitisha.

Akizungumza kwa sharti la kutotajwa jina lake, diwani huyo alifunguka kwamba huo ni ufisadi wa kutisha kwa sababu kuhamisha machinga hakuhitaji fedha nyingi kiasi hicho.

Alifafanua kwamba machinga walio wengi wamekubali wenyewe kuhama na huko wanapopelekwa hawajengewi vibanda wala hawalipwi gharama za kuhamisha biashara zao.

"Hizi fedha ni nyingi sana ndugu mwandishi na cha kushangaza hawa madiwani wote walikubali kupitisha bajeti hii ambayo waandishi wa habari walitolewa nje ya kikao cha baraza la madiwani,'' alisema.

Aliongeza kuwa katika bajeti hiyo waandishi wa habari nao wametengewa posho zao ili kuandika mambo mazuri pekee katika zoezi la kuhamisha machinga hao.

Alifafanua kuwa jiji lina magari yenye vipaza sauti ambayo yanapita kila kona walipo machinga na kuwataka wahame na kuwaelekeza sehemu za kwenda, lakini anashangaa kuona fedha hizo zinatengwa kwa ajili ya kuratibu zoezi hilo.

Kuhusu uwanja huo wa michezo, diwani huyo alisema, Serikali ilielekeza maeneo ambayo hayapaswi kupelekwa machinga kuwa ni pamoja na kuvamia viwanja vya shule.

Alisema shule hizo zilizopo kata ya Igogo watoto wake kwa sasa hawatakuwa na sehemu za kuchezea na kwamba kutakuwa na mwingiliano wa watu wengi hatua ambayo inaweza kuharibu masomo ya watoto hao.

Kuhusu kutengwa Sh. milioni 10 kwa ajili kuchimba mtaro na kusambaza udongo katika uwanja huo, alisema kiasi hicho pia ni kikubwa kwa kuwa jiji lina magari na magreda yake ambayo kama yangetumiwa wangeweza kuokoa fedha nyingi.

Akizungumzia kupitishwa kwa bajeti hiyo ya mamilioni, Mkurugenzi wa jiji la Mwanza, Sekiete Yahaya alisema suala hilo siyo kweli na kushindwa kueleza ukweli.

Alipoulizwa kikao cha Oktoba 5 mwaka huu cha baraza la madiwani ambacho kiliitishwa kwa dharura kilikuwa na ajenda gani alikata simu na alipopigiwa hakupokea tena.

Aidha, alipotumiwa ujumbe mfupi wa maneno kutaka ufafanuzi, Mkurugenzi huyo hakujibu kitu siku nzima ya jana.

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Amina Makilagi, alipotafutwa kuzungumza tuhuma hizo, alidai yeye sio anayepanga bajeti ya Jiji la Mwanza ambapo awali Mkurugenzi wa Jiji hilo Yahaya alidai zoezi hilo linaratibiwa na Mkuu huyo wa wilaya.

Zoezi la kuhamisha machinga na kuwapeleka maeneo waliyopangiwa linaendelea jijini Mwanza na linatarajia kukamilika Oktoba 14 mwaka huu.
Magaidi wanalipana🤣🤣🤣


Hawa utawasikia Katiba Mpya haileti Ugali
 
Naona watu wanawaka tu na kuripuka bila kujiuliza. Source ya hiyo habari ni nini?!! Katika akili ya kawaida (common sense), hivi hilo linaingia akilini?!!! M251 kulipana posh tu?!! Mwanza tu?!!! Halafu dar, bilioni ngapi?!!! Msiwe vilaza namna nyie magreat thinkers aisee!!
Mkuu weww unaishi nchi gani?? tena hizo ni ndogo sana kwa magaidi hawa.
 
Milioni 251 zatengwa kulipana posho kuondoa machinga Jiji la Mwanza.

Wanaolipwa CD, DC na wenzao

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida jiji la Mwanza limetenga Sh. milioni 251 kwa ajili ya kulipana posho watumishi wake kwa siku 10 ili kusimamia zoezi la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo maarufu Machinga katikati ya jiji na kwenda maeneo waliyotengewa.

Kadhalika, jiji hilo limetenga Sh. milioni 10 kwa ajili ya kuchimba mtaro wenye urefu wa wa mita 100 katika uwanja wa Mchafukuoga uliokuwa ukitumiwa na shule nane zikiwamo za msingi na sekondari kwa ajili ya michezo ili kuuweka sawa kwa ajili kuhamishia machinga 2500 wa mtaa wa Makoroboi.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, mmoja wa Diwani aliyeshiriki kupitisha bajeti hiyo ya jiji iliyopitishwa Oktoba 5 mwaka huu, alisema fedha hizo ni nyingi, lakini cha kushangaza madiwani asilimia 99 walikubali kuipitisha.

Akizungumza kwa sharti la kutotajwa jina lake, diwani huyo alifunguka kwamba huo ni ufisadi wa kutisha kwa sababu kuhamisha machinga hakuhitaji fedha nyingi kiasi hicho.

Alifafanua kwamba machinga walio wengi wamekubali wenyewe kuhama na huko wanapopelekwa hawajengewi vibanda wala hawalipwi gharama za kuhamisha biashara zao.

"Hizi fedha ni nyingi sana ndugu mwandishi na cha kushangaza hawa madiwani wote walikubali kupitisha bajeti hii ambayo waandishi wa habari walitolewa nje ya kikao cha baraza la madiwani,'' alisema.

Aliongeza kuwa katika bajeti hiyo waandishi wa habari nao wametengewa posho zao ili kuandika mambo mazuri pekee katika zoezi la kuhamisha machinga hao.

Alifafanua kuwa jiji lina magari yenye vipaza sauti ambayo yanapita kila kona walipo machinga na kuwataka wahame na kuwaelekeza sehemu za kwenda, lakini anashangaa kuona fedha hizo zinatengwa kwa ajili ya kuratibu zoezi hilo.

Kuhusu uwanja huo wa michezo, diwani huyo alisema, Serikali ilielekeza maeneo ambayo hayapaswi kupelekwa machinga kuwa ni pamoja na kuvamia viwanja vya shule.

Alisema shule hizo zilizopo kata ya Igogo watoto wake kwa sasa hawatakuwa na sehemu za kuchezea na kwamba kutakuwa na mwingiliano wa watu wengi hatua ambayo inaweza kuharibu masomo ya watoto hao.

Kuhusu kutengwa Sh. milioni 10 kwa ajili kuchimba mtaro na kusambaza udongo katika uwanja huo, alisema kiasi hicho pia ni kikubwa kwa kuwa jiji lina magari na magreda yake ambayo kama yangetumiwa wangeweza kuokoa fedha nyingi.

Akizungumzia kupitishwa kwa bajeti hiyo ya mamilioni, Mkurugenzi wa jiji la Mwanza, Sekiete Yahaya alisema suala hilo siyo kweli na kushindwa kueleza ukweli.

Alipoulizwa kikao cha Oktoba 5 mwaka huu cha baraza la madiwani ambacho kiliitishwa kwa dharura kilikuwa na ajenda gani alikata simu na alipopigiwa hakupokea tena.

Aidha, alipotumiwa ujumbe mfupi wa maneno kutaka ufafanuzi, Mkurugenzi huyo hakujibu kitu siku nzima ya jana.

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Amina Makilagi, alipotafutwa kuzungumza tuhuma hizo, alidai yeye sio anayepanga bajeti ya Jiji la Mwanza ambapo awali Mkurugenzi wa Jiji hilo Yahaya alidai zoezi hilo linaratibiwa na Mkuu huyo wa wilaya.

Zoezi la kuhamisha machinga na kuwapeleka maeneo waliyopangiwa linaendelea jijini Mwanza na linatarajia kukamilika Oktoba 14 mwaka huu.
Hizo pesa si zinatosha kabisa kuwajengea miundombinu mizuri hao Machinga.

Waziri Ummy fuatilia Hawa na ikibainika watimue hao Wakurugenzi.
 
Milioni 251 zatengwa kulipana posho kuondoa machinga Jiji la Mwanza.

Wanaolipwa CD, DC na wenzao

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida jiji la Mwanza limetenga Sh. milioni 251 kwa ajili ya kulipana posho watumishi wake kwa siku 10 ili kusimamia zoezi la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo maarufu Machinga katikati ya jiji na kwenda maeneo waliyotengewa.

Kadhalika, jiji hilo limetenga Sh. milioni 10 kwa ajili ya kuchimba mtaro wenye urefu wa wa mita 100 katika uwanja wa Mchafukuoga uliokuwa ukitumiwa na shule nane zikiwamo za msingi na sekondari kwa ajili ya michezo ili kuuweka sawa kwa ajili kuhamishia machinga 2500 wa mtaa wa Makoroboi.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, mmoja wa Diwani aliyeshiriki kupitisha bajeti hiyo ya jiji iliyopitishwa Oktoba 5 mwaka huu, alisema fedha hizo ni nyingi, lakini cha kushangaza madiwani asilimia 99 walikubali kuipitisha.

Akizungumza kwa sharti la kutotajwa jina lake, diwani huyo alifunguka kwamba huo ni ufisadi wa kutisha kwa sababu kuhamisha machinga hakuhitaji fedha nyingi kiasi hicho.

Alifafanua kwamba machinga walio wengi wamekubali wenyewe kuhama na huko wanapopelekwa hawajengewi vibanda wala hawalipwi gharama za kuhamisha biashara zao.

"Hizi fedha ni nyingi sana ndugu mwandishi na cha kushangaza hawa madiwani wote walikubali kupitisha bajeti hii ambayo waandishi wa habari walitolewa nje ya kikao cha baraza la madiwani,'' alisema.

Aliongeza kuwa katika bajeti hiyo waandishi wa habari nao wametengewa posho zao ili kuandika mambo mazuri pekee katika zoezi la kuhamisha machinga hao.

Alifafanua kuwa jiji lina magari yenye vipaza sauti ambayo yanapita kila kona walipo machinga na kuwataka wahame na kuwaelekeza sehemu za kwenda, lakini anashangaa kuona fedha hizo zinatengwa kwa ajili ya kuratibu zoezi hilo.

Kuhusu uwanja huo wa michezo, diwani huyo alisema, Serikali ilielekeza maeneo ambayo hayapaswi kupelekwa machinga kuwa ni pamoja na kuvamia viwanja vya shule.

Alisema shule hizo zilizopo kata ya Igogo watoto wake kwa sasa hawatakuwa na sehemu za kuchezea na kwamba kutakuwa na mwingiliano wa watu wengi hatua ambayo inaweza kuharibu masomo ya watoto hao.

Kuhusu kutengwa Sh. milioni 10 kwa ajili kuchimba mtaro na kusambaza udongo katika uwanja huo, alisema kiasi hicho pia ni kikubwa kwa kuwa jiji lina magari na magreda yake ambayo kama yangetumiwa wangeweza kuokoa fedha nyingi.

Akizungumzia kupitishwa kwa bajeti hiyo ya mamilioni, Mkurugenzi wa jiji la Mwanza, Sekiete Yahaya alisema suala hilo siyo kweli na kushindwa kueleza ukweli.

Alipoulizwa kikao cha Oktoba 5 mwaka huu cha baraza la madiwani ambacho kiliitishwa kwa dharura kilikuwa na ajenda gani alikata simu na alipopigiwa hakupokea tena.

Aidha, alipotumiwa ujumbe mfupi wa maneno kutaka ufafanuzi, Mkurugenzi huyo hakujibu kitu siku nzima ya jana.

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Amina Makilagi, alipotafutwa kuzungumza tuhuma hizo, alidai yeye sio anayepanga bajeti ya Jiji la Mwanza ambapo awali Mkurugenzi wa Jiji hilo Yahaya alidai zoezi hilo linaratibiwa na Mkuu huyo wa wilaya.

Zoezi la kuhamisha machinga na kuwapeleka maeneo waliyopangiwa linaendelea jijini Mwanza na linatarajia kukamilika Oktoba 14 mwaka huu.
wewe badala ya kulaumu machinga walioingiza hiyo gharama unaleta umbeya hapa- JIUZURU UDIWANI KUONYESHA HASIRA ZAKO
 
Milioni 251 zatengwa kulipana posho kuondoa machinga Jiji la Mwanza.

Wanaolipwa CD, DC na wenzao

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida jiji la Mwanza limetenga Sh. milioni 251 kwa ajili ya kulipana posho watumishi wake kwa siku 10 ili kusimamia zoezi la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo maarufu Machinga katikati ya jiji na kwenda maeneo waliyotengewa.

Kadhalika, jiji hilo limetenga Sh. milioni 10 kwa ajili ya kuchimba mtaro wenye urefu wa wa mita 100 katika uwanja wa Mchafukuoga uliokuwa ukitumiwa na shule nane zikiwamo za msingi na sekondari kwa ajili ya michezo ili kuuweka sawa kwa ajili kuhamishia machinga 2500 wa mtaa wa Makoroboi.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, mmoja wa Diwani aliyeshiriki kupitisha bajeti hiyo ya jiji iliyopitishwa Oktoba 5 mwaka huu, alisema fedha hizo ni nyingi, lakini cha kushangaza madiwani asilimia 99 walikubali kuipitisha.

Akizungumza kwa sharti la kutotajwa jina lake, diwani huyo alifunguka kwamba huo ni ufisadi wa kutisha kwa sababu kuhamisha machinga hakuhitaji fedha nyingi kiasi hicho.

Alifafanua kwamba machinga walio wengi wamekubali wenyewe kuhama na huko wanapopelekwa hawajengewi vibanda wala hawalipwi gharama za kuhamisha biashara zao.

"Hizi fedha ni nyingi sana ndugu mwandishi na cha kushangaza hawa madiwani wote walikubali kupitisha bajeti hii ambayo waandishi wa habari walitolewa nje ya kikao cha baraza la madiwani,'' alisema.

Aliongeza kuwa katika bajeti hiyo waandishi wa habari nao wametengewa posho zao ili kuandika mambo mazuri pekee katika zoezi la kuhamisha machinga hao.

Alifafanua kuwa jiji lina magari yenye vipaza sauti ambayo yanapita kila kona walipo machinga na kuwataka wahame na kuwaelekeza sehemu za kwenda, lakini anashangaa kuona fedha hizo zinatengwa kwa ajili ya kuratibu zoezi hilo.

Kuhusu uwanja huo wa michezo, diwani huyo alisema, Serikali ilielekeza maeneo ambayo hayapaswi kupelekwa machinga kuwa ni pamoja na kuvamia viwanja vya shule.

Alisema shule hizo zilizopo kata ya Igogo watoto wake kwa sasa hawatakuwa na sehemu za kuchezea na kwamba kutakuwa na mwingiliano wa watu wengi hatua ambayo inaweza kuharibu masomo ya watoto hao.

Kuhusu kutengwa Sh. milioni 10 kwa ajili kuchimba mtaro na kusambaza udongo katika uwanja huo, alisema kiasi hicho pia ni kikubwa kwa kuwa jiji lina magari na magreda yake ambayo kama yangetumiwa wangeweza kuokoa fedha nyingi.

Akizungumzia kupitishwa kwa bajeti hiyo ya mamilioni, Mkurugenzi wa jiji la Mwanza, Sekiete Yahaya alisema suala hilo siyo kweli na kushindwa kueleza ukweli.

Alipoulizwa kikao cha Oktoba 5 mwaka huu cha baraza la madiwani ambacho kiliitishwa kwa dharura kilikuwa na ajenda gani alikata simu na alipopigiwa hakupokea tena.

Aidha, alipotumiwa ujumbe mfupi wa maneno kutaka ufafanuzi, Mkurugenzi huyo hakujibu kitu siku nzima ya jana.

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Amina Makilagi, alipotafutwa kuzungumza tuhuma hizo, alidai yeye sio anayepanga bajeti ya Jiji la Mwanza ambapo awali Mkurugenzi wa Jiji hilo Yahaya alidai zoezi hilo linaratibiwa na Mkuu huyo wa wilaya.

Zoezi la kuhamisha machinga na kuwapeleka maeneo waliyopangiwa linaendelea jijini Mwanza na linatarajia kukamilika Oktoba 14 mwaka huu.

ufisadi hautaisha nchi labda imepitishwe sheria ya kunyonga watu wanaopatikana na hatia ya ufisadi lkn vinginevyo sijui.majipu yako kila idara na taasisi zake.kila kukicha wanafikiria namna ya kupiga pesa tu.
 
Back
Top Bottom