ATCL
Tafadhali kama mnavyofanya Chato hiyo mara mbili kwa wiki kwa nauli hiyo hiyo na mikoa mingine mtufikirie walau hata ndege tu pande.
Mtafanya jambo jema sana mkifika na mikoa mingine kwa nauli ya kawaida sio mbaya.
Tafadhali sana mtufikirie ninyi ndio shirika tunalojivunia na kuwategemea.
Tafadhali kama mnavyofanya Chato hiyo mara mbili kwa wiki kwa nauli hiyo hiyo na mikoa mingine mtufikirie walau hata ndege tu pande.
Mtafanya jambo jema sana mkifika na mikoa mingine kwa nauli ya kawaida sio mbaya.
Tafadhali sana mtufikirie ninyi ndio shirika tunalojivunia na kuwategemea.