Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Mmoja wa wanaounda kundi la shilawadu Kwisa,ameulizwa inakuwaje wao ni wanaume halafu wafanya umbea?
Jamaa alichojibu ni kuwa wangefanya wanawake kipindi kisingenoga, kingeonekana cha kawaida ila kwa kuwa wanafanya wanaume kimekuwa extraordinary hadi wanaume sasa wanapenda umbea
Jamaa alichojibu ni kuwa wangefanya wanawake kipindi kisingenoga, kingeonekana cha kawaida ila kwa kuwa wanafanya wanaume kimekuwa extraordinary hadi wanaume sasa wanapenda umbea