Shikamoo wewe kipofu uliyeniibia pikipiki na ukaiendesha

Huwezi kuanza na 3000 kwenye nauli ya 1000. HUo ni utapeli tu. Vipi kama ni mgeni, si utamwibngiza mjini. Kwanza kwa nini usimwambie nauli inayotozwa, kwa nini utarajie mbishane kwanza ndio mkubaliane?
Kutoka kijiwen kwang had manzese darajani kwa buku sikupeleki,,pili hakuna bei rasmi kwa bodabod kwahiyo ukiingilikia kwa bei kubwa unapigwa, sehem ya kwenda kwa 2000 ukitaj hyo hyo abiria atakwambia ana 1000
 
Back
Top Bottom