Tupe story ilikuwaje mkuu?Bora wewe mwenzako aliibiwa kwa maembe ya 600/=.
Ila wezi wa aina hii wananifurahisha sana,hongera sana we dada uliofundishwa bodaboda hongera na we babu kipofu,mi mshabiki wenu.
Lete kisa...Bora wewe mwenzako aliibiwa kwa maembe ya 600/=.
Shukrani😀😀 nimecheka Kama mazuri..pole
Mwenzako aliangushiwa gongo la kilema pikipiki ikaenda yeye akabaki na gongo.SHIKAMONI/MARAHABAA
STORY YAHUSU: NILIVYOIBIWA BOBABODA MAGOMENI JIJINI DSM
Nipo zangu kijiweni nikisubiri abiria mara paap wanakuja wanaume wawili mmja mtu wa makamo miaka 40/55 amevaa miwani meusi akionekana ni mtu mwenye ulemavu wa macho (kipofu) na mwingine ambae ni kijana Kati ya miaka 18/25 akimsadia kumuongoza njia huku wote wamekamata fimbo moja.
Wamefika kwangu baada ya salamu fupi yule kijana akanambia "oya abiria anaenda Manzese darajani ni shilingi ngapi"? Nikamwambia buku tatu (3000) kipofu na yeye akaongea na kuniomba kwmba nimsaidia ana buku 2 (2000) tu..
Nikakubali nikampakia na kuanza safari mbele kdogo kipofu akaangusha fimbo yake akaniambia "kijana samahani fimbo yangu imenianguka" fasta nikasimama nikageuka nyuma kweli nikaiona haikuwa mbali na niliposimama kama hatua 15 hivi ila ni katikati ya barabara nikaona bora niende kwa miguu
Sasa kumbe mluguru mimi nilijichanganya kwenda kumuokotea fimbo yake bila kuizima boxer yangu.kudadeq hatua kama kumi hivi nikasikia chombo inapigwa race ya kufa mtu KUGEUKA NYUMA MTUMEEE KIPOFU ANAENDESHA PIKIPIKI MWEEEE
Hata mzazi nae usimuamini asilimia zote haswa Baba, Mtu pekee atleast unaepaswa umpe asilimia 80 za kumuamini ni Mama tuAsee duniani hapa muamini mzazi wako tu
Kwa bei uliyowapa ya book 3 Magomeni hadi Manzese, wewe sio dereva wa boda boda na hii hadithi umetunga maana hata bei za boda huzijui.SHIKAMONI/MARAHABAA
STORY YAHUSU: NILIVYOIBIWA BOBABODA MAGOMENI JIJINI DSM
Nipo zangu kijiweni nikisubiri abiria mara paap wanakuja wanaume wawili mmja mtu wa makamo miaka 40/55 amevaa miwani meusi akionekana ni mtu mwenye ulemavu wa macho (kipofu) na mwingine ambae ni kijana Kati ya miaka 18/25 akimsadia kumuongoza njia huku wote wamekamata fimbo moja.
Wamefika kwangu baada ya salamu fupi yule kijana akanambia "oya abiria anaenda Manzese darajani ni shilingi ngapi"? Nikamwambia buku tatu (3000) kipofu na yeye akaongea na kuniomba kwmba nimsaidia ana buku 2 (2000) tu..
Nikakubali nikampakia na kuanza safari mbele kdogo kipofu akaangusha fimbo yake akaniambia "kijana samahani fimbo yangu imenianguka" fasta nikasimama nikageuka nyuma kweli nikaiona haikuwa mbali na niliposimama kama hatua 15 hivi ila ni katikati ya barabara nikaona bora niende kwa miguu
Sasa kumbe mluguru mimi nilijichanganya kwenda kumuokotea fimbo yake bila kuizima boxer yangu.kudadeq hatua kama kumi hivi nikasikia chombo inapigwa race ya kufa mtu KUGEUKA NYUMA MTUMEEE KIPOFU ANAENDESHA PIKIPIKI MWEEEE
Usije jaribu kumuamini mzazi ambaye asili yake ni mkinga, msukuma, muha, mzigua hawachelewi kukufanya ndondocha au msukuleAsee duniani hapa muamini mzazi wako tu
Huwezi ukaanza bei ya chini kwenye biashara za kuelewana bei,nilimwmbia 3000 lakini hata angesema ana buku jero ningeenda (Ulemavu sio sababu ya kulipa nauli ndogo kwangu)Kwa bei uliyowapa ya book 3 Magomeni hadi Manzese, wewe sio dereva wa boda boda na hii hadithi umetunga maana hata bei za boda huzijui.
Na kama ni kweli wewe ni dereva wa bodaboda unawapiga watu kwa bei ya kitapeli kama hiyo na tena kipofu - ulistahili kuibiwa, karma hiyo!
NashukuruPole mkuu
Aisee dah mkuu nipo ifakara sahizi lakini nilishaamua kumuachia MunguKuna jamaa aliibiwa piki piki yake maeneo ruaha(anakofanyia shughuli zake) ilimuuma sana akaelekezwa kwa mtaalam pale mahenge morogoro. Yule mama alimwambia usijali baba we endelea shughuli zako. Baada ya siku3 jamaa alieiba aliipeleka mwenyewe kituo cha polisi pale ruaha na akasema anamtafuta sana mwenye nayo... kwa iyo njia za kupata mali zako zipo... kuwa na connection tu.
Huwezi kuanza na 3000 kwenye nauli ya 1000. HUo ni utapeli tu. Vipi kama ni mgeni, si utamwibngiza mjini. Kwanza kwa nini usimwambie nauli inayotozwa, kwa nini utarajie mbishane kwanza ndio mkubaliane?Huwezi ukaanza bei ya chini kwenye biashara za kuelewana bei,nilimwmbia 3000 lakini hata angesema ana buku jero ningeenda (Ulemavu sio sababu ya kulipa nauli ndogo kwangu)