feisar wa moro
JF-Expert Member
- Mar 17, 2020
- 365
- 854
SHIKAMONI/MARAHABAA
STORY YAHUSU: NILIVYOIBIWA BOBABODA MAGOMENI JIJINI DSM
Nipo zangu kijiweni nikisubiri abiria mara paap wanakuja wanaume wawili mmja mtu wa makamo miaka 40/55 amevaa miwani meusi akionekana ni mtu mwenye ulemavu wa macho (kipofu) na mwingine ambae ni kijana Kati ya miaka 18/25 akimsadia kumuongoza njia huku wote wamekamata fimbo moja.
Wamefika kwangu baada ya salamu fupi yule kijana akanambia "oya abiria anaenda Manzese darajani ni shilingi ngapi"? Nikamwambia buku tatu (3000) kipofu na yeye akaongea na kuniomba kwmba nimsaidia ana buku 2 (2000) tu..
Nikakubali nikampakia na kuanza safari mbele kdogo kipofu akaangusha fimbo yake akaniambia "kijana samahani fimbo yangu imenianguka" fasta nikasimama nikageuka nyuma kweli nikaiona haikuwa mbali na niliposimama kama hatua 15 hivi ila ni katikati ya barabara nikaona bora niende kwa miguu
Sasa kumbe mluguru mimi nilijichanganya kwenda kumuokotea fimbo yake bila kuizima boxer yangu.kudadeq hatua kama kumi hivi nikasikia chombo inapigwa race ya kufa mtu KUGEUKA NYUMA MTUMEEE KIPOFU ANAENDESHA PIKIPIKI MWEEEE
STORY YAHUSU: NILIVYOIBIWA BOBABODA MAGOMENI JIJINI DSM
Nipo zangu kijiweni nikisubiri abiria mara paap wanakuja wanaume wawili mmja mtu wa makamo miaka 40/55 amevaa miwani meusi akionekana ni mtu mwenye ulemavu wa macho (kipofu) na mwingine ambae ni kijana Kati ya miaka 18/25 akimsadia kumuongoza njia huku wote wamekamata fimbo moja.
Wamefika kwangu baada ya salamu fupi yule kijana akanambia "oya abiria anaenda Manzese darajani ni shilingi ngapi"? Nikamwambia buku tatu (3000) kipofu na yeye akaongea na kuniomba kwmba nimsaidia ana buku 2 (2000) tu..
Nikakubali nikampakia na kuanza safari mbele kdogo kipofu akaangusha fimbo yake akaniambia "kijana samahani fimbo yangu imenianguka" fasta nikasimama nikageuka nyuma kweli nikaiona haikuwa mbali na niliposimama kama hatua 15 hivi ila ni katikati ya barabara nikaona bora niende kwa miguu
Sasa kumbe mluguru mimi nilijichanganya kwenda kumuokotea fimbo yake bila kuizima boxer yangu.kudadeq hatua kama kumi hivi nikasikia chombo inapigwa race ya kufa mtu KUGEUKA NYUMA MTUMEEE KIPOFU ANAENDESHA PIKIPIKI MWEEEE