Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
Zamani zetu zile Mwalimu akiingia darasani tulikuwa tunainuka na kusema Heshima na utii, tukiwa shuleni na nyumbani Shikaaaaamooooooooo Mwaliiiiiiiiiim huku dole gumba likiwa kwenye paji la uso.
Pia tulikuwa tukicheza sana vinyengo (mpira wa karatasi), magari ya waya na dagio.
Kila mwanafunzi alikuwa na kiunga chake ambacjho alikuwa akikifagia kila siku na kiunga kingine kilikuwa cha maua. mnashindana nani anamaua mengi na mazuri.
Siku zilikuwa ni nzuri sana, na saa nne tulikuwa tunakunywa uji wa bulga.
Pia tulikuwa tukicheza sana vinyengo (mpira wa karatasi), magari ya waya na dagio.
Kila mwanafunzi alikuwa na kiunga chake ambacjho alikuwa akikifagia kila siku na kiunga kingine kilikuwa cha maua. mnashindana nani anamaua mengi na mazuri.
Siku zilikuwa ni nzuri sana, na saa nne tulikuwa tunakunywa uji wa bulga.