Shika Adabu Yako!

Kigodoro

JF-Expert Member
Apr 25, 2014
1,660
1,676
Nimeongozana na dadangu badala ya kusubiri nikutambulishe unajitia uchizi na kumuita shemeji....shika adabu yako!

Ni kweli dadangu kajaaliwa kunyerokunyero (a.k.a chura) lkn isiwe sababu ya kupiga miruzi na kunipongeza kuwa ninafaidi.

Ndugu zanguni siyo kila jinsia 2 zinapo tembea pamoja barabarani ni wapenzi, kuna akina dada, mashangazi, wafanyakazi wenzetu, mashemeji zetu, n.k

Wewe mwenye tabia hii shika adabu yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom