Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,444
- 7,806
Akiwa Bungeni, mbunge Shigongo amelalamikia wananchi kutoka jimbo lake la Buchosa, visiwa vya Zilagula na Maisonga kununua unit moja kwa Tshs 2,400 kutoka kwa kampuni binafsi za Power Gen
Amesema kampuni hizo zilipewa maagizo na waziri kuuza umeme kwa Tshs 100 lakini baada ya Rais Magufuli kufariki wamepandisha bei kufika 2,400 na amedai wanasema aliyekuwa anawasumbua ameondoka na kuwasikitia kutojua mama Samia ni moto wa kuotea mbali.
Kwenye hoja hiyo ya umeme, Mbunge wa viti maalum, Esther Matiko amelalamikia gharama kubwa za umeme Tanzania akitolea mfano watu wanaoishi Kagera na kupokea umeme kutoka Uganda wananunua unit 80 za umeme kwa Tshs 10,000 ilhali kwa Tanzania unapata unit 28 pekee.
Amesema kampuni hizo zilipewa maagizo na waziri kuuza umeme kwa Tshs 100 lakini baada ya Rais Magufuli kufariki wamepandisha bei kufika 2,400 na amedai wanasema aliyekuwa anawasumbua ameondoka na kuwasikitia kutojua mama Samia ni moto wa kuotea mbali.
Kwenye hoja hiyo ya umeme, Mbunge wa viti maalum, Esther Matiko amelalamikia gharama kubwa za umeme Tanzania akitolea mfano watu wanaoishi Kagera na kupokea umeme kutoka Uganda wananunua unit 80 za umeme kwa Tshs 10,000 ilhali kwa Tanzania unapata unit 28 pekee.