Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa wilayani Sengerema mkoani Mwanza kupitia CCM, Eric Shigongo James, amejumuika na wazee wa Kijiji cha Nyehunge baada ya kuwakuta wakinywa pombe ya kienyeji aina ya kidugugu ambayo ni maarufu katika maeneo hayo.
Source: Global publisher
NB: Shigongo ni mshirika wa kanisa moja la kilokole linalojulikana kama VCC Mbezi beach .
Source: Global publisher
NB: Shigongo ni mshirika wa kanisa moja la kilokole linalojulikana kama VCC Mbezi beach .