Uchaguzi 2020 Shigongo ajiachia kunywa pombe na Wazee wa Buchosa

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,108
18,326
Mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa wilayani Sengerema mkoani Mwanza kupitia CCM, Eric Shigongo James, amejumuika na wazee wa Kijiji cha Nyehunge baada ya kuwakuta wakinywa pombe ya kienyeji aina ya kidugugu ambayo ni maarufu katika maeneo hayo.

Source: Global publisher

NB: Shigongo ni mshirika wa kanisa moja la kilokole linalojulikana kama VCC Mbezi beach .

FB_IMG_1600789308417.jpeg
FB_IMG_1600789298026.jpeg
 
Mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa wilayani Sengerema mkoani Mwanza kupitia CCM, Eric Shigongo James, amejumuika na wazee wa Kijiji cha Nyehunge baada ya kuwakuta wakinywa pombe ya kienyeji aina ya kidugugu ambayo ni maarufu katika maeneo hayo.

Source: Global publisher

NB: Shigongo ni mshirika wa kanisa moja la kilokole linalojulikana kama VCC Mbezi beach .

Madaraka bhana...!!! Hata imani yake kaitupa kule.
Ila acheni apate ubunge huenda "akajilipa ya 2015" mabango na fulana...
 
Back
Top Bottom