Tempon
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 234
- 381
Sio kweli ndugu hata colabo ya My number one remix, Chibu ndio alihangaikia mwenyewe baada ya Davido kuja dar alilipie almost 5000 USd hujiulizi hao mameneja wamnganganie tu Tu chibu kwani ndio msanii pekee wanae manage?kumbuka hao ndio wamemfikisha hapo