Shida yao CCM Lissu siyo Mla Rushwa!!

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
18,260
33,856
Shida ya wapinzani wa Lissu ni kwamba wanakosa njia ya kumsingizia kwamba kwenye maisha yake ya Uwakili na siasa amewahi kula au kutoa Rushwa. Ukiona nguvu ya CCM inayotumika kwa Lissu tangu mwaka 2010, basi unajua ni kwa nini CCM wanafikia hadi kutamani kufa kwa Lissu.

Kama Lissu angekuwa na makando kando kwenye maisha yake ya kisiasa zamani sana angekuwa tayari "keshanyamazishwa" na maadui zake. Tangu enzi za Mkapa mpa sasa imeshapita zaidi ya miaka 18 lakini CCM wameshindwa kumzushia Lissu kashifa ya matendo ya kiufisadi.

Mbowe anaitwa Mchaga na siyo msomi, Maalimu Seifu anaitwa Sultan na mpemba, Lowassa anaitwa mgonjwa na mroho wa madaraka. Lakini kwa sasa Lissu anazushiwa kwamba hana staha, si muungwana na akili zake haziko sawa.

Vita ya CCM dhidi Lissu inakuwa ngumu kwa kuwa yeye si mla rushwa na wala hategemei upendeleo kuendesha maisha yake. Nakumbuka Zitto alipopaza sauti kuhusu Escrow wabaya zake wakamkumbusha jinsi anavyojipatia hela toka kwenye mifuko ya Hifadhi ya jamii kwa njia ya upendeleo.

Safi sana Lissu kwa kutokuwa mla Rushwa!
 
Lissu ni mropokaji tu.

Rejeeni maneno ya kashfa aloyasema kuhusu baba wa taifa.

The guy is unhinged!!!
 
Lisu ni mnafiki wa taifa. Ngoja aishi jela kwanza, akitoka huko akute na mke wamelamba na hapo ndipo atajua maana ya uhuru huyu mnafiki
Nyie sijui kwa nini mna mawazo kama watumishi wa kwenye madhabahu ya shetani. Akifungwa na mke wake wakilamba wewe utafaidika na nini? Ndiyo maana watu wanaamini kwamba shetani hupenda uchafu na ndiyo hata maana wafuasi wake wana mawazo machafu pia!
 
Nyie sijui kwa nini mna mawazo kama watumishi wa kwenye madhabahu ya shetani. Akifungwa na mke wake wakilamba wewe utafaidika na nini? Ndiyo maana watu wanaamini kwamba shetani hupenda uchafu na ndiyo hata maana wafuasi wake wana mawazo machafu pia!

Mkuu watu kama Hawa ukiqajibu unapoteza nguvu na muda bure,hao ni wanaccm waliojijengea chuki kwa wale wanaowatetea watanzania.

Lissu aliwatetea familia za watu zaidi ya 350 waliokumbwa na kadhia ya kufukiwa kwenye machimbo Bulyankulu.Kwa hiyo sishangai wanaccm wanaompakazia Lissu na kumtukana.

Kwa wengi Lissu ni mkombozi wao,kwa wapumbavu wa CCM Lissu ni adui achana na Hawa manyang'au na majizi ya raslimali zetu
 
Nyie sijui kwa nini mna mawazo kama watumishi wa kwenye madhabahu ya shetani. Akifungwa na mke wake wakilamba wewe utafaidika na nini? Ndiyo maana watu wanaamini kwamba shetani hupenda uchafu na ndiyo hata maana wafuasi wake wana mawazo machafu pia!

Mkuu watu kama Hawa ukiqajibu unapoteza nguvu na muda bure,hao ni wanaccm waliojijengea chuki kwa wale wanaowatetea watanzania.

Lissu aliwatetea familia za watu zaidi ya 350 waliokumbwa na kadhia ya kufukiwa kwenye machimbo Bulyankulu.Kwa hiyo sishangai wanaccm wanaompakazia Lissu na kumtukana.

Kwa wengi Lissu ni mkombozi wao,kwa wapumbavu wa CCM Lissu ni adui achana na Hawa manyang'au na majizi ya raslimali zetu
 
Nyamaza kama hujui. Lisu ana upungufu wa akili na pia ni mla rushwa, hapo anatembea na fuko la wazungu. Natamani ningekuwa polisi ningemchapa virungu mpaka alie kithungu.
Umekaa umewaza kweli mwenyewe ukaona jamaa hakuwahi kupewa rushwa hata kusingiziwa ukaona utudanganye et anatembea na fuko la wazungu. Alikuja nalo baba ako? Samahanj lakn mkuu kama nakukera cz maneno yako yenyewe yana kera sana unaonesha unalipwa ili kutudanganya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lissu ni mropokaji tu.

Rejeeni maneno ya kashfa aloyasema kuhusu baba wa taifa.

The guy is unhinged!!!
Baba wa taifa hakosolewi au?
Jaribu kucopy japo 0.000000000000000000000000⅛ ya ujinga wa Lissu utatoka huko ulipo
 
Back
Top Bottom