Shida ya mawasiliano ya Simu

senkoP

Senior Member
Aug 28, 2017
161
174
Jamani kumezuka inshu ya mawasiliano kwenye simu kuwa magumu ivi tatizo ninini? Yaani unampigia mtu hamsikilizani na ukichek network kwenye simu iko full na mtu unayempigia yuko town au mtu anakuambia nimekupigia simu yko inaita lakin mbona hupokei ukichek kwenye simu yko hkn hata miss call…. .afadhari hata hili lkn hili la kupigia mtu nakutosikilizana huwa linakwaza sana… .na hii inshu imetokea sio chini ya miezi mitano sasa? Ni kero jaman
 
Mitandao ya sasa sijui ni kuzidiwa au nini hata sjui na ukiangalia minara ipo kila mahali lakin zaman unakuta mnara upo mwanza mjini unashika mpaka ukerewe kisiwani

Kingine kinachokera ni wale wanaotuwekea zile sauti za simu haipatilani wakati ipo hewani ukirudia kupiga ndo inakubali
 
Jamani kumezuka inshu ya mawasiliano kwenye simu kuwa magumu ivi tatizo ninini? Yaani unampigia mtu hamsikilizani na ukichek network kwenye simu iko full na mtu unayempigia yuko town au mtu anakuambia nimekupigia simu yko inaita lakin mbona hupokei ukichek kwenye simu yko hkn hata miss call…. .afadhari hata hili lkn hili la kupigia mtu nakutosikilizana huwa linakwaza sana… .na hii inshu imetokea sio chini ya miezi mitano sasa? Ni kero jaman
Mtandao gani?
 
Mitandao ya sasa sijui ni kuzidiwa au nini hata sjui na ukiangalia minara ipo kila mahali lakin zaman unakuta mnara upo mwanza mjini unashika mpaka ukerewe kisiwani

Kingine kinachokera ni wale wanaotuwekea zile sauti za simu haipatilani wakati ipo hewani ukirudia kupiga ndo inakubali
Duh..!! Mwanza mjini hadi ukerewe upate mawasiliano kwa mnara ulliopo Mwanza..!!
 
Mitandao ya sasa sijui ni kuzidiwa au nini hata sjui na ukiangalia minara ipo kila mahali lakin zaman unakuta mnara upo mwanza mjini unashika mpaka ukerewe kisiwani

Kingine kinachokera ni wale wanaotuwekea zile sauti za simu haipatilani wakati ipo hewani ukirudia kupiga ndo inakubali
Yaani inakera kweli
 
Jamani kumezuka inshu ya mawasiliano kwenye simu kuwa magumu ivi tatizo ninini? Yaani unampigia mtu hamsikilizani na ukichek network kwenye simu iko full na mtu unayempigia yuko town au mtu anakuambia nimekupigia simu yko inaita lakin mbona hupokei ukichek kwenye simu yko hkn hata miss call…. .afadhari hata hili lkn hili la kupigia mtu nakutosikilizana huwa linakwaza sana… .na hii inshu imetokea sio chini ya miezi mitano sasa? Ni kero jaman
Kuna hujuma tunahujumiwa na makampuni ya simu, fikiria mtu anapiga simu siku nzima haelewani na anayewasiliana nae mwisho wa siku kifurushi kimekwisha 0-0
 
Kwa watoto wa 2000 hamuwez elewa,kipindi unazaliwa watu tulikuwa tunamiliki simu ukiwa ukerewe inakuandikia mnara inaoshika kwa kutaja mahali huo mnara ulipo,voda na tigo(ya zamani) enzi hzo walikuwa na minara yenye nguvu sana,
Ahahahahaaa... hujui unaongea na aliyekuwa mhandisi wa Celtel wakati huo..!! Huko Ukerewe nishafika kuhudumia minara. Mwanza to ukerewe kwa umbali ni 55kM, ambayo ndiyo maximum link distance kwa madishi tunayoyatumia Tanzania. Umbali huo huwezi kuufikia kwa antena..!! Unatakiwa uweke mnara huko ukerewe then uwe na link yenye line of sight toka mwanza hadi Ukerewe. By the way, huo mwaka unaodhani mimi nimezaliwa ndo nilikuwa namaliza Faculty of Engineering pale UDSM...
 
Kwa watoto wa 2000 hamuwez elewa,kipindi unazaliwa watu tulikuwa tunamiliki simu ukiwa ukerewe inakuandikia mnara inaoshika kwa kutaja mahali huo mnara ulipo,voda na tigo(ya zamani) enzi hzo walikuwa na minara yenye nguvu sana,
Hata leo huduma hiyo ipo
 
Inakera na inauzi sana!

Mtu yuko hewani lakini unapiga zaidi mara 3 haipatikani

Hasa hizi huduma kutoka mtandao mmoja kwenda mwingine aisee!!

mtu yuko mjini anapiga simu kwenda Pasiansi au Buzuruga eti simu haipatikani duh!
 
Ahahahahaaa... hujui unaongea na aliyekuwa mhandisi wa Celtel wakati huo..!! Huko Ukerewe nishafika kuhudumia minara. Mwanza to ukerewe kwa umbali ni 55kM, ambayo ndiyo maximum link distance kwa madishi tunayoyatumia Tanzania. Umbali huo huwezi kuufikia kwa antena..!! Unatakiwa uweke mnara huko ukerewe then uwe na link yenye line of sight toka mwanza hadi Ukerewe. By the way, huo mwaka unaodhani mimi nimezaliwa ndo nilikuwa namaliza Faculty of Engineering pale UDSM...
Sawa boss,je mwanza mpaka sengerema vijijin unaweza amini
 
Kwa watoto wa 2000 hamuwez elewa,kipindi unazaliwa watu tulikuwa tunamiliki simu ukiwa ukerewe inakuandikia mnara inaoshika kwa kutaja mahali huo mnara ulipo,voda na tigo(ya zamani) enzi hzo walikuwa na minara yenye nguvu sana,
Hajui kuwa simu zikikuwa zinaonyesha mnara unaotumia, watoto wa 2000 ujuaji mwingi sana
 
Back
Top Bottom