swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,251
- 1,467
Ukiona jinsi wanaccm wanavyojisifu nashindwa kujua .
Swali langu :Hivi hili tatizo la kukatika kwa maji na umeme kila siku kila mwaka ni kwenye nyumba zenye wanachama wa cdm,cuf na nccr tu au na kwa wanaccm?
Nauliza kwa sababu wana Ccm wanasifia mfumo utafikiri hata hz shida kwao hazipo.ama kweli rushwa hupofusha akili.
Swali langu :Hivi hili tatizo la kukatika kwa maji na umeme kila siku kila mwaka ni kwenye nyumba zenye wanachama wa cdm,cuf na nccr tu au na kwa wanaccm?
Nauliza kwa sababu wana Ccm wanasifia mfumo utafikiri hata hz shida kwao hazipo.ama kweli rushwa hupofusha akili.