nyembeason
Member
- May 4, 2009
- 44
- 21
Hawa ni si wananchi wa kijijini, ni wananchi wa Bigwa Visiwani, Manispaa ya Morogoro. Shida ya maji ni kubwa kuliko kawaida.
Maji ya MORUWASA huwa hayatoki kwa kipindi cha mpaka miezi mitatu...wanamji, hasa wa Bigwa...hutumia maji yasiyo salama, ya kwenye vijimito vya msimu.
Picha zinatoa hali halisi....tutapita kila mtaa mjini Morogoro kwa picha zaidi.
Maji ya MORUWASA huwa hayatoki kwa kipindi cha mpaka miezi mitatu...wanamji, hasa wa Bigwa...hutumia maji yasiyo salama, ya kwenye vijimito vya msimu.
Picha zinatoa hali halisi....tutapita kila mtaa mjini Morogoro kwa picha zaidi.
Attachments
-
WIN_20161212_084541.JPG306.4 KB · Views: 34
-
WIN_20161212_084545.JPG330.1 KB · Views: 40
-
WIN_20161212_084743.JPG428.5 KB · Views: 32
-
WIN_20161212_084800.JPG339 KB · Views: 37
-
WIN_20161212_084808.JPG292 KB · Views: 36
-
WIN_20161212_085358.JPG217.7 KB · Views: 64
-
WIN_20161212_084809.JPG318.2 KB · Views: 36
-
WIN_20161212_085429.JPG203.5 KB · Views: 48
-
WIN_20161212_084623.JPG331.6 KB · Views: 31
-
WIN_20161212_085030.JPG342.9 KB · Views: 37