Shida tunazozipata wadada wa makamo tulio single miaka 35 na kuendelea

Mlipokuwa mabinti mlijitia kuwa Nyodo na kujidai kwingiii, leo mnajifanya kutaka huruma zetu. Hakuna ndoa hapa
 
Si kweli kwamba kila mwanamke anatamani kuzaa.

Kuna siku nilikuwa nasikiliza BBC World Service, walikuwa wanahojiwa wanawake ambao wameamua kutozaa wala kuolewa kwa hiyari zao wenyewe, wengine wameamua kusafiri sehemu mbalimbali za dunia, wengine wameamua kuweka kipaumbele katika kazi zao.

Kwa hiyo, labda inawezekana kiutamaduni hapo ulipo kila mwanamke anaonekana hivyo, lakini kuna wanawake kibao hawana mpango wa kuolewa wala kuzaa.
Hiyo sampuli yako ya BBC walikuwa ni wanawake wa Mataifa gani!
 
mpumbavu malaya aliyebeba mimba yako,bora yale matiti wangenyonya mbwa kuliko kunyonya tahira kama wewe,ndo shida ya kuzaliwa vichochoroni hii,mama ako malaya alikuwa anaweweseka baada ya kupitiliza siku zake,akakutana na baba ako ametoka kunywa pombe za kienyeji wakafilana ndo ukazaliwa wewe kitobo,hapo nyumbani kwenu napo wanahesabia wana mtoto, Foolish
hahahaha nigga youre fun hahahaha ...huwezi kubadilisha kwamba wewe ni mpuuzi na huna akili...pumbavu tena
 
mpumbavu malaya aliyebeba mimba yako,bora yale matiti wangenyonya mbwa kuliko kunyonya tahira kama wewe,ndo shida ya kuzaliwa vichochoroni hii,mama ako malaya alikuwa anaweweseka baada ya kupitiliza siku zake,akakutana na baba ako ametoka kunywa pombe za kienyeji wakafilana ndo ukazaliwa wewe kitobo,hapo nyumbani kwenu napo wanahesabia wana mtoto, Foolish
ukikua utaacha kuwa mjinga ila tatizo linalokusumbua sana sasa hivi ni upumbavu...kuna uwezekano wa kujifunza kuwa mtu mzima mkuu ni hard feelings
 
Kazi ipo. Unapenda kilicho akilini mwako ndio kiwe akilini kwa mwingine.

Hicho nilichoandika sicho kilichopo akili mwangu bali ndicho kilichopo akilini mwa wanaume wengi na ukweli mnaujua ila hapa mtakataa tu maana wanaume hamjawahi kukubali ukweli hata siku moja hasa kama ukweli huo unatoka kwa wanawake
 
Mwenzangu bora kuwa single kabisaaa.................. nikiona hayo mateso ndugu yangu toka nitoke anayoyapata na huyo dubwasha alilofuga? Mungu amnusuru tuu ila nasikia juzi kamrushia mifuko yake ya shangazi kaja nje.. huenda ikawa salama kwake

Duuh pole yake ila mimi nilishajiapiza kuliko kuwa na mwanaume mzinzi au mnyanyasaji ni bora niwe single maisha yangu yote
 
Ni kweli kabisa ulichoandika na wengine wamo kwenye mahusiano kabisa ya kuishi nyumba moja au hata kwenye ndoa lakini wote ME na KE hawataki kuwa watoto na wana uwezo wa mkubwa wa kuwalea ila tu wana lifestyle ya kupenda kujiusha kwa namna mbali mbali ikiwemo kusafiri sehemu mbali mbali duniani, lifestyle ambayo ukiwa na watoto inakuwa ngumu. Mwanzoni nilikuwa nashangaa sana inakuwaje watu watake kuwemo kwenye ndoa lakini hawataki watoto lakini siku hizi nawaelewa.

Si kweli kwamba kila mwanamke anatamani kuzaa.

Kuna siku nilikuwa nasikiliza BBC World Service, walikuwa wanahojiwa wanawake ambao wameamua kutozaa wala kuolewa kwa hiyari zao wenyewe, wengine wameamua kusafiri sehemu mbalimbali za dunia, wengine wameamua kuweka kipaumbele katika kazi zao.

Kwa hiyo, labda inawezekana kiutamaduni hapo ulipo kila mwanamke anaonekana hivyo, lakini kuna wanawake kibao hawana mpango wa kuolewa wala kuzaa.
 
Hicho nilichoandika sicho kilichopo akili mwangu bali ndicho kilichopo akilini mwa wanaume wengi na ukweli mnaujua ila hapa mtakataa tu maana wanaume hamjawahi kukubali ukweli hata siku moja hasa kama ukweli huo unatoka kwa wanawake
Wewe ni kifaa.
 
Back
Top Bottom