Shibuda kwenye mazishi ya rejia alikuwepo

Kwa majaribio madogo tu jana nilituma mada kuhusiana na wapi rais Jakaya Kikwete anapata muda kwenda misibani lakini siyo kuhimiza maendeleo. Mada hiyo iliuawa pamoja na kuituma zaidi ya mara tatu. Kwa mchezo huu si JF itangaze wazi kuwa imeingia ubia na serikali kufanya kazi ya ushushu na PR? Si hilo tu kwanini mtu atoe dukuduku lake watu au kikundi cha watu kiliondoe kwenye matandao hata bila kumtaarifu? Hizi ni tabia za magazeti ya chama na asasi nyingine za kifisadi za propaganda za serikali. Heri kutangaza wazi kuwa JF imeingiliwa.
 
Back
Top Bottom