Huyu shibudabuda ni mamluki >>>nawataka wadau mkae mkao wakusikia siku moja akirudi sisiem na kuichamba chadema>>huyu pale chadema kaenda si kama mtetezi wa wanyonge bali kutimiza maslahi yake>>>viongozi wangu chadema..kaeni macho na huyu mtu
Binafsi siwezi kuunga hoja kwa kusema eti ni mamluki, maana hakuna uthibitisho wa mimi kuutumia kujenga hoja yangu. Wanaodai yeye mamluki, basi watoe vithibitisho walivyonavyo hapa jamvini. Maana, kwenye video hapo juu, sikusika neo lolote la yeye kusema yu CCM. Hivyo, basi tutakuwa tayari kuiunga hoja ya umamluki wa mwanachama yeyote ndani ya CHADEMA chama cha wananchi kama wadau wataonyesha vithibitisho visivyo na ualakini.
Ametoka juzi, it will take time maneno CCM kumtoka.
Senkyu NNIn politics there are no permanent enemies or friends. Only permanent interests....
shibuda bado anaonekana ana genes za kijani kichwani mwake.
Ametoka juzi, it will take time maneno CCM kumtoka.