Ahahahaah! Anataka posho iongezwe eti ya sasa haitoshi!kweli shibuda ni mzigo.
Ni mwi-aKumbe posho kiswahili sanifu ni ujira wa mwiha, dah! Shibuda ni noma...
Shibuda sioni sababu ya yeye kufika 2015 CDM wamfute uanachama then wafanye uchaguzi upya huko Maswa Magharibi ana maneno ya kifala sana huyo mwendawazimu.
Mlafi wa nyama mkubwa huyo.
Posho ipi, ya vikao au??Hahaha anataka posho ifike laki tano kwa siku!