Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,606
Hio sand coin ndio unapataje faida? Hebu tuelekezane wazee wa kudanrodi pesaIko kwenye FTx app.. sijajua kwenye wallets nyingine
Imepanda from $1 to $7 in a month..
Hio sand coin ndio unapataje faida? Hebu tuelekezane wazee wa kudanrodi pesaIko kwenye FTx app.. sijajua kwenye wallets nyingine
Imepanda from $1 to $7 in a month..
the same ilitokea kweny onyxcoin mpaka ikatolewa nje ya soko maana wale viongozi walidump billion za coins ikadrop sanaShiba Inu ilipanda kwa matarajio kuwa Robinhood itailist. Muda ambao ulitarajiwa Robinhood watailist ulipofika na haikufanya hivyo SHIB ikaacha kupanda. Robinhood wasingeweza kuilist kwa vile haina maisha kivilee, yani watu wainunue ikue kisha waiuze ili kununua ETH au BTC. Sasa kwa hali hiyo Robinhood wasingeweza risk maisha yao maana wana mabomu mengine wameyafuga pia.
Sababu kubwa ya Robinhood kutoilist SHIB ni kuwa 72% yake inamilikiwa na whales ambapo mmoja alikuwa na 42% ya coins zote kwenye mzunguko. Huyo jamaa angeamua kuuza coins zake ghafla kwa pamoja ili apate faida angeshusha thamani mpaka karibia na sifuri. Yani SHIB inategemea huruma za whales ambao hawana hasara maana walinunua mapema sana hata ishuke 80% ya thamani yake hawapati hasara.
Off course wametransfer kidogo ila ikitokea whale mmoja akauza zote nyie wengine mtajua hamjui
Hio sand coin ndio unapataje faida? Hebu tuelekezane wazee wa kudanrodi pesa
Shiba imeshiba sasa ni mwendo wa kwenda kulala
Umepiga hela sana mkuu sasa si ungeacha zifike hata million 1 ndio utoe😅Early this month nilinunua sand coins 50 each at 1 dollar kwa 50 dollars... leo nimeuza zote kwa 8.11 dollars each nakupata dollars 405, in less than a month.
Umepiga hela sana mkuu sasa si ungeacha zifike hata million 1 ndio utoe
Hahahahahah we mjanja kmmmk! Na hio ndio namna scalping inatakiwa kufanyika😅Ziki change gia angani kama shiba???
Mimi sio mtu wa ku hold.. nkiona kuna faida imepatikana nachomoa naenda to another promising coin..
Squid coin waliiba hela wakakimbia nazo wale developers. Mashabiki wakahesabu majivuPump and dump kama kawaida...acha wenye hela wendelee kula hela. Same as with crypto ya dogecoin, squid game na meme coins nyingine nyingi.
Hivi kuna memecoin ambaya ilishawahi kuvuta $0.5 and stayed above for a while.Ile coin iliyojizoelea umaarufu kwenye Crypto currency nakununuliwa kwa wingi kwa matarajio ya kutajirisha watu inazidi kushuka Kwa kasi.
Shiba Inu inaendelea tu kushuka na kuleta taharuki, huzuni na kukata tamaa. Wengi hawaanini na kujuta kwanini waliwekeza na wengi wanafanya kutoka hela yao hata KWA hasara.
Wachumi walitabiri ikifika November Shiba itapanda Hadi one cent$. Kuna member humu majuzi alileta uzi akiomba ushaur jinsi ya kununua Shiba Inu. Pia kuna Latvia alidai kanunua 110 m Shiba coins.
Hadi navyoandika huu uzi Shiba inazidi kushuka. Je wadau tusikate tamaa unaweza ikapanda? Wengine wanashaur ni vizur kuinunua Sasa hivi ilivyoshuka.
Wanadai Shiba Inu ilianzishwa kuiangusha Doge coin na sasa ni zamu yake kuanguka. Sasa coin ya Elon ndio mpango mzima.
Gushleviv mud-oil-chafu Greg50
Wanaofanya hii biashara ni watu wavivu tu na mabosi wao ni wale wajanjawajanja.Huu nao ni ukichaa kama mwingine,
Unanunua magunia 10 ya mahindi unayaweka ndani,afu unategemea msimu ujao utakuwa na magunia 20
Hivi kuna memecoin ambaya ilishawahi kuvuta $0.5 and stayed above for a while.
Mkuu samahani kama ntakukosea heshima ila kufananisha gunia la mahindi na digital currency ni mfano mzuri wa ukosefu wa maarifa.Huu nao ni ukichaa kama mwingine,
Unanunua magunia 10 ya mahindi unayaweka ndani,afu unategemea msimu ujao utakuwa na magunia 20
Kwa sasa promising coin ni zipi mkuu?Ziki change gia angani kama shiba???
Mimi sio mtu wa ku hold.. nkiona kuna faida imepatikana nachomoa naenda to another promising coin..
Duuuuh!!!!! una mawazo negative.Wanaofanya hii biashara ni watu wavivu tu na mabosi wao ni wale wajanjawajanja.