Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 16,133
- 33,451
Maswali yanaendelea....
Mungu ndiye chanzo cha yote[kwa wale wanaoamini] je ndio chanzo cha mbegu ya uasi wa shetani?
Kwanini laana ya Mungu iendelee kutafuna vizazi hata vizazi kwa kosa lililofanywa na watuwawili waliombwa na Mungu mwenyewe?
Kuna mahali kokote kwenye biblia pameonesha shetani aliko? Ni wapi kama hapajaoneshwa tunaanzaje kumchora shetani kama ndio chanzo cha haya maasi yote?
Au shetani ni sisi wenyewe? Na hapa duniani ndio makao yetu?
Nitaendelea na maswali kadri mada itakavyo endelea
MUHIMU÷ Naomba swali la thibitisha kwanza kama mungu yupo lisubiri kwanza. Tumsake kwanza huyo shetani kama kweli yupo.
Karibuni
Mungu ndiye chanzo cha yote[kwa wale wanaoamini] je ndio chanzo cha mbegu ya uasi wa shetani?
Kwanini laana ya Mungu iendelee kutafuna vizazi hata vizazi kwa kosa lililofanywa na watuwawili waliombwa na Mungu mwenyewe?
Kuna mahali kokote kwenye biblia pameonesha shetani aliko? Ni wapi kama hapajaoneshwa tunaanzaje kumchora shetani kama ndio chanzo cha haya maasi yote?
Au shetani ni sisi wenyewe? Na hapa duniani ndio makao yetu?
Nitaendelea na maswali kadri mada itakavyo endelea
MUHIMU÷ Naomba swali la thibitisha kwanza kama mungu yupo lisubiri kwanza. Tumsake kwanza huyo shetani kama kweli yupo.
Karibuni