BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Kama kuna pepo linalowamaliza watanzania leo hii ukiacha cancer na hiv n vifurishi vya data
Yaani Watanzanià wameingiliwa na hili pepo ambalo imefika radhi wanunue vifurushi watoto wanywe chai na mkate
Wako radhi wakose nauli kesho wawatumie mahawara zao ama bibizao vifurushi
Kiukweli vifuurushi vingi n garama kuliko unavyojua
Kwa mnaoweka vya 2000 andikeni pemben kila.mda mnaoweka mjue mwisho wa mwezi mmetumia sh ngapi
Wakati wa kuamka sasa sio lazima kila sà simuyako iwe na vifurushi ukiona haviitajiki potezea mazima subiria ukiwa poa usiumize kutoa pesa za mambo mengine kununua vifurushi
Hilipepo lazima mlikatae kwa maombi na nguvu zote
Yaani Watanzanià wameingiliwa na hili pepo ambalo imefika radhi wanunue vifurushi watoto wanywe chai na mkate
Wako radhi wakose nauli kesho wawatumie mahawara zao ama bibizao vifurushi
Kiukweli vifuurushi vingi n garama kuliko unavyojua
Kwa mnaoweka vya 2000 andikeni pemben kila.mda mnaoweka mjue mwisho wa mwezi mmetumia sh ngapi
Wakati wa kuamka sasa sio lazima kila sà simuyako iwe na vifurushi ukiona haviitajiki potezea mazima subiria ukiwa poa usiumize kutoa pesa za mambo mengine kununua vifurushi
Hilipepo lazima mlikatae kwa maombi na nguvu zote