Sheria zinazolinda na kuzuia Ukatili wa Kijinsia Mtandaoni

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,495
9,275
Sheria zinazolinda na kuzuia ukatili wa kijinsia mitandaoni ni pamoja na;

• Sheria ya Maudhui ya Mitandaoni (Online Content Regulation) 2020 ambayo inakataza na kutoa adhabu kurusha maudhui ya udhalilishaji ikiwamo picha/video za utupu, lugha za udhalilishaji zinazokwenda kinyume na utamaduni wa Mtanzania.

• Sheria ya Kimakosa ya Mtandao 2015 (Cyber Crime Act) ambapo Kifungu cha 23 kinakataza na kupinga uonevu mtandaoni kuwa ni kosa kisharia kwa mtu yoyote kufanya uonevu wa aina yoyote kwa kutumia njia za kieleketroniki na kufanya huyo ni kosa kisharia, na yeyote atakayekutwa na kosa hili atatumikia kifungo kisichozidi miaka 3 jela au zaidi, au kulipa faini isyopungua million tano (5) au vyote kwa pamoja.

Je, kwanini ukatili wa mitandaoni unazidi kukithiri pamoja na sheria kuwepo Sababu zinazopelekea ukatili wa mitandaoni kuendelea kukithiri ni kama zifuatazo;

• Uelewa mdogo kwa wananchi juu ya sheria zinazozuia na kukataza ukatili wa kijinsia mitandaoni.

• Hofu ya kuendelea kudhalilika hasa pale kesi zinapotaka kwenda Mahakamani.

• Tamaduni ya jamii nyingi kwenye mitandao kukaa kimya badala ya kukemea wanapoona vitendo vya uaktili kwenye mitandao
Mapungufu katika utaratibu wa ripoti kwa vyombo husika.

• Hivyo basi, katika kipindi hiki cha Siku 16 za Uanaharakati, tunatumia kampeni hii kupaza sauti na kukemea ukatili wa kijinsia mitandaoni.
 
Haya ma jinsia jinsia kmmke zenu yanachochea chuki kwa wanajamii. Haya maharakati yenu yanazima kabisa tumaini la upendo baina yetu wanaume na wanawake kama jamii moja kutokana na kila siku ni maupendeleo ya kisengelema kwa wanawake majinsia jinsia jinsia what the Faaak !! Kwani ikisomeka makosa ya ukatili mitandaoni shida iko wapi mpaka kuchomekea jinsia na ma maku kunuka yenu. Mianamke hua ni mibinafsi sana na kutafuta maupendeleo ya kijinga jinga.

Kwani wanaotendewa ukatili ni wanawake peke yao na maku kunuka zenu !? Ukienda polisi ooh dawati la jinsi na hapo utakuta maaskari wanawake wenye ngebe ndoa zishawashinda ndo watetezi wa wanawake kila kitu jinsia jinsia ya nyoko. Anzisheni na dunia yenu huko mkasagane huko, au mtufukuze basi wanaume kukatafute dunia yetu huko tuwaache mnanukiana peke yenu na maubinafsi yenu.
 
Haya ma jinsia jinsia kmmke zenu yanachochea chuki kwa wanajamii. Kwani ikisomeka makosa ya ukatili mitandaoni shida iko wapi mpaka kuchomekea jinsia na ma maku yenu. Kwani wanaotendewa ukatili ni wanawake peke yao ? Ukienda polisi ooh dawati la jinsi na hapo utakuta maaskari wanawake wenye ngebe ndoa zishawashinda ndo watetezi wa wanawake kila kitu jinsia jinsia ya nyoko
Umeongea kwa hasira sana
 
Back
Top Bottom