BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 7,662
- 17,175
Kwa hiyo hata akiwa na Miaka 30 ila ni mwanafunzi , Bado ni Makosa?? Maana as per what i know mwenye miaka 30 na mwenye miaka 19 ni sawa tuAkiwa na umri chini ya miaka 18 unaishtakiwa kwa makosa mawili kubaka na kumsababishia ujauzito mwanafunzi.Akiwa na zaidi ya miaka 18 unaishatakiwa kwa kosa la kumpa ujauzito mwanafunzi.
Kampige mimba huyo wa miaka 30 alieko secondary tuone kesi itakavyoenda na Court judgement itakavyokuwa!Kwa hiyo hata akiwa na Miaka 30 ila ni mwanafunzi , Bado ni Makosa?? Maana as per what i know mwenye miaka 30 na mwenye miaka 19 ni sawa tu
Mkuu hapa tunajifunza tu , wala mm sio muumini wa kutembea na wanafunzi maana warembo hapa mjini Daslam wamejaa sana yaani mpaka nawakimbia mwenyewe..Kampige mimba huyo wa miaka 30 alieko secondary tuone kesi itakavyoenda na Court judgement itakavyokuwa!
Hakuna mtaalam yoyote wa sheria hapa Tumejaa ma Bush Lawyers tu. Hakuna mwenye reference yoyote ya kesi wa Experience yoyote hata ya Taarifa tu kwenye situation kama hiiJela
Bila kujali sheria inasema nini. Usimkatishe masomo.Hata hao walio chini ya miaka 18 huwa sio rahisi san mwanaume kufungwa ama kuchukuliwa hatua za kisheria until yeye kaleta ubishi ama kaikataa mimba. Hamna anayependa baba wa mtoto afungwe hata km umempa binti mdg mimba.