sheria zilizopitishwa na zilizosainiwa lakini hazifanyi kazi

Ngambo Ngali

JF-Expert Member
Apr 17, 2009
3,517
1,360
Jana kumetokea tukio la Kihistoria na la kwanza katika nchi za SADCC kutiwa sahihi kwa sheria ya gharama za uchaguzi. Swali kubwa ni je kutia shahi peke yake kunaweza kuifanya sheria ifanye kazi? Hapa chini ni baadhi tu ya sheria ambazo zipo na hazijawahi kufanya kazi mpaka leo;

1. The Registration and identificatopn of Persons Act 1968.
2. Agricultural Development Fund Act 1984
3. Agriculture Products 9 Control of Movement Act) 1966
4. Sheria ya kuzika Viongozi 2007

Mwanan JF Kama unazijua sheria zingine ambazo zimo kwenye vitabu na hazifanyi kazi hebu zitundike ili tuone kama hii ya jana inaweza kufuata muelekeo wa sheria zisizo na kazi kwenye vitabu vyetu vya sheria.
 
Jana kumetokea tukio la Kihistoria na la kwanza katika nchi za SADCC kutiwa sahihi kwa sheria ya gharama za uchaguzi. Swali kubwa ni je kutia shahi peke yake kunaweza kuifanya sheria ifanye kazi? Hapa chini ni baadhi tu ya sheria ambazo zipo na hazijawahi kufanya kazi mpaka leo;

1. The Registration and identificatopn of Persons Act 1968.
2. Agricultural Development Fund Act 1984
3. Agriculture Products 9 Control of Movement Act) 1966
4. Sheria ya kuzika Viongozi 2007

Mwanan JF Kama unazijua sheria zingine ambazo zimo kwenye vitabu na hazifanyi kazi hebu zitundike ili tuone kama hii ya jana inaweza kufuata muelekeo wa sheria zisizo na kazi kwenye vitabu vyetu vya sheria.

Unaposema kuwa Sheria hazifanyi kazi unamaanisha nini?
 
Unaposema kuwa Sheria hazifanyi kazi unamaanisha nini?

Zinatungwa lakini hazitumiki kama inavyokusudiwa eg sheria ya kuzika viongozi ipo lakini viongozi wa kitaifa wakifa wanazikwa kinyume na sheria inavyosema, sheria ya kuandikisha watu ni ya mwaka 1968 lakini mpaka sasa miaka 41 baada ya kusainiwa bado haifanyi kazi.

Naona na hii ya juzi imesainiwa na itaenda muelekeo ule wa hizo
 
Zinatungwa lakini hazitumiki kama inavyokusudiwa eg sheria ya kuzika viongozi ipo lakini viongozi wa kitaifa wakifa wanazikwa kinyume na sheria inavyosema, sheria ya kuandikisha watu ni ya mwaka 1968 lakini mpaka sasa miaka 41 baada ya kusainiwa bado haifanyi kazi.

Naona na hii ya juzi imesainiwa na itaenda muelekeo ule wa hizo

Kumbe ulikuwa unamaanisha HAZIFANYIWI kazi? Unajua uwepo wa Sheria pekee kunawafanya watu waogope kuzivunja hata kama sio wote. Kwa mantiki hiyo ZINAFANYA KAZI! Kwa mfano, kila mara tunasikia juu ya ubakaji, wizi, nk lakini Sheria zipo. Tusingekuwa na Sheria dhidi ya makosa hayo huenda mambo yangekuwa mabaya zaidi.
 
Kumbe ulikuwa unamaanisha HAZIFANYIWI kazi? Unajua uwepo wa Sheria pekee kunawafanya watu waogope kuzivunja hata kama sio wote. Kwa mantiki hiyo ZINAFANYA KAZI! Kwa mfano, kila mara tunasikia juu ya ubakaji, wizi, nk lakini Sheria zipo. Tusingekuwa na Sheria dhidi ya makosa hayo huenda mambo yangekuwa mabaya zaidi.

Kuna sheria hizo ulizozitaja ambazo zina sanctions zinaleta uoga kiasi fulani kwa jamii fulani ya watu ie walala hoi. Lakini zipo sheria nyingine kama hii ya gharama za uchaguzi wahusika ndio hao hao je unadhani itasaidia au itafanya kazi kama viongozi hawana utashi kwa sababu vitu vyote vilivyomo ndani yake vinaweza kufanyika bila sheria ni utashi tu.

My idea was hatukuhitaji mbwembwe zote hizo na hatukuhitaji hata kuitunga hiyo sheria. Tulihitaji zaidi utashi na maadili yaliyonyooka.
 
Kuna sheria hizo ulizozitaja ambazo zina sanctions zinaleta uoga kiasi fulani kwa jamii fulani ya watu ie walala hoi. Lakini zipo sheria nyingine kama hii ya gharama za uchaguzi wahusika ndio hao hao je unadhani itasaidia au itafanya kazi kama viongozi hawana utashi kwa sababu vitu vyote vilivyomo ndani yake vinaweza kufanyika bila sheria ni utashi tu.

My idea was hatukuhitaji mbwembwe zote hizo na hatukuhitaji hata kuitunga hiyo sheria. Tulihitaji zaidi utashi na maadili yaliyonyooka.

Mimi nakubaliana na wewe kimsingi, nilitaka tu maelezo yako yawe wazi zaidi. Ukisoma Sheria zinazotakiwa ziwabane wakubwa mara nyingi huwa haziko clear au zina "claw back clauses!" Kumbuka siku zote kuwa "the law is meant to protect the interests of the ruling class!"
 
Mimi nakubaliana na wewe kimsingi, nilitaka tu maelezo yako yawe wazi zaidi. Ukisoma Sheria zinazotakiwa ziwabane wakubwa mara nyingi huwa haziko clear au zina "claw back clauses!" Kumbuka siku zote kuwa "the law is meant to protect the interests of the ruling class!"

In which case, sheria hii ipo kwa ajili ya kuprotect CCM na baadhi ya cliue ndani ya CCM. Sasa tuseme wanaoisifia ambao wako chamani hawajui hilo? Mnyonge ambaye sheria hii haimsaidii afanye nini kuondokana na dhahama hii na udhalimu huu wa wazi.

Nimesoma juzi kwenye gazeti moja eti mkoani Kigoma Halmashauri ja jiji sijui wilaya imechangia CCM shs 70,000,000/= , mgeni rasmi akiwa waziri wa serikali za mitaa. Tukumbuke kuwa wakati wa kutoa fwedha hiyo tayari hii sheria imeshasainiwa hii imekaaje kwa sheria mpya? Naomba unizuje Buchanan.
 
Jana kumetokea tukio la Kihistoria na la kwanza katika nchi za SADCC kutiwa sahihi kwa sheria ya gharama za uchaguzi. Swali kubwa ni je kutia shahi peke yake kunaweza kuifanya sheria ifanye kazi? Hapa chini ni baadhi tu ya sheria ambazo zipo na hazijawahi kufanya kazi mpaka leo;

1. The Registration and identificatopn of Persons Act 1968.
2. Agricultural Development Fund Act 1984
3. Agriculture Products 9 Control of Movement Act) 1966
4. Sheria ya kuzika Viongozi 2007

Mwanan JF Kama unazijua sheria zingine ambazo zimo kwenye vitabu na hazifanyi kazi hebu zitundike ili tuone kama hii ya jana inaweza kufuata muelekeo wa sheria zisizo na kazi kwenye vitabu vyetu vya sheria.

Zipo Nyingi Mzee, kwa uchavche tu kuna nyingine zilitungwa na zipo kwenye vitabu vya Sheria (statute books) lakini hazikuwahi kutangazwa kutumika. Kama ifutavyo:

(i) Zipo zilizotungwa na lakini hazitumiki kabisa kutokana na kukosekana kabisa au kuwepo kwa mfumo duni wa utekelezaji vya vyombo vya usimamizi (implementation framework). Hizi ni zile ambazo kwa mfano mamlaka husika za usimamizi hazijaundwa kabisa au zimeundwa lakini hazinauwezo wa kutosha wa kutekeleza majukumu yake kama sheria ilivyokusudiwa.

(ii) Zipo pia sheria zilizotungwa pasipo kuwepo "study" ya kabla ya kina kuhusu umuhimu wa kuwepo kwa sheria hizo ("socio-economic impact assessment")

(iii) Zipo sheria ambazo zilitungwa kwa makusudi maalumu lakini makusudi yalipokwisha zimendelea kuwepo pasipo kuangaliwa tena kama zinafaa kuwepo (kuhuishwa au kufutwa kabisa).

(iv) kuna zile ambazo zimekuwepo kwa lengo zuri lakini zikatumika na watawala kwa makusudi tofauti

(v) zipo pia ambazo zina mapungufu makubwa au vipengele vinavyogngana na sheria nyingine au hali halisi ya madhumunin ya kuwepo kwake. Hizi zinapaswa kupitiwa upya kwa lengo la kufanyiwa marekebisho (zimepitwa na wakati/outdated).

Kwa orodha ya zile ninazozifahamu ni kama ifutavyo:


  • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya Mwaka 1977
- imepitwa na wakati ina mapungufu ya kushindwa kutekeleza kwa kina madhumnuni yake.
  • The Tanzania Investment Act
  • The Rural Farmlands (Acquisition and Regrant) Act
  • The Prevention of Gambling Act
  • The Notaries Public and Commissioners for Oaths Act
  • The Public Trustee (Powers and Functions) Act
  • The Commissions of Inquiry Act
  • The Expulsion of Undesirables Act
  • The Law of Marriage Act
  • The Succession (Non-Christian Asiatics) Act
  • The Age of Majority Act
  • The National Industries (Licensing and Registration) Act
  • The National Security Act
  • The Explosives Act
  • The Trustee Investments Act
  • The Industrial Court of Tanzania Act
  • The Occupiers Liability Act
  • The Tourist Agents (Licensing) Act
  • The Agricultural Products (Control of Movement) Act
  • The Building Societies Act
  • The Institute of Finance Management Act
  • The Mzumbe University Act
  • The Land Act
  • The Village Land Act
  • The Privatisation Trust Act
  • The Production Development Funds Act
  • The Kariakoo Market Corporation Act
  • The Grass Fires (Control) Act
  • The Produce Export Act
  • The Tanzania Industrial Studies and Consulting Organisation Act
  • The Tanzania Industrial Research and Development Organisation Act
  • The National Milling Corporation Act
  • The Road Traffic Act
  • The Law Reform Commission of Tanzania Act
  • The Agricultural Inputs Trust Fund Act
  • The Exports Control Act
  • The Regions and Districts (Establishment Procedure) Act
  • The Public Order Act
  • The Potable Spirits (Compounding) Act
  • The Severance Allowance Act
  • The Security of Employment Act
  • The Deportation Act
  • The Traditional Liquor (Control of Distillation) Act

  • The Public Leadership Code of Ethics Act

 
Zipo Nyingi Mzee, kwa uchavche tu kuna nyingine zilitungwa na zipo kwenye vitabu vya Sheria (statute books) lakini hazikuwahi kutangazwa kutumika. Kama ifutavyo:

(i) Zipo zilizotungwa na lakini hazitumiki kabisa kutokana na kukosekana kabisa au kuwepo kwa mfumo duni wa utekelezaji vya vyombo vya usimamizi (implementation framework). Hizi ni zile ambazo kwa mfano mamlaka husika za usimamizi hazijaundwa kabisa au zimeundwa lakini hazinauwezo wa kutosha wa kutekeleza majukumu yake kama sheria ilivyokusudiwa.

(ii) Zipo pia sheria zilizotungwa pasipo kuwepo "study" ya kabla ya kina kuhusu umuhimu wa kuwepo kwa sheria hizo ("socio-economic impact assessment")

(iii) Zipo sheria ambazo zilitungwa kwa makusudi maalumu lakini makusudi yalipokwisha zimendelea kuwepo pasipo kuangaliwa tena kama zinafaa kuwepo (kuhuishwa au kufutwa kabisa).

(iv) kuna zile ambazo zimekuwepo kwa lengo zuri lakini zikatumika na watawala kwa makusudi tofauti

(v) zipo pia ambazo zina mapungufu makubwa au vipengele vinavyogngana na sheria nyingine au hali halisi ya madhumunin ya kuwepo kwake. Hizi zinapaswa kupitiwa upya kwa lengo la kufanyiwa marekebisho (zimepitwa na wakati/outdated).

Kwa orodha ya zile ninazozifahamu ni kama ifutavyo:


  • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya Mwaka 1977
- imepitwa na wakati ina mapungufu ya kushindwa kutekeleza kwa kina madhumnuni yake.
  • The Tanzania Investment Act
  • The Rural Farmlands (Acquisition and Regrant) Act
  • The Prevention of Gambling Act
  • The Notaries Public and Commissioners for Oaths Act
  • The Public Trustee (Powers and Functions) Act
  • The Commissions of Inquiry Act
  • The Expulsion of Undesirables Act
  • The Law of Marriage Act
  • The Succession (Non-Christian Asiatics) Act
  • The Age of Majority Act
  • The National Industries (Licensing and Registration) Act
  • The National Security Act
  • The Explosives Act
  • The Trustee Investments Act
  • The Industrial Court of Tanzania Act
  • The Occupiers Liability Act
  • The Tourist Agents (Licensing) Act
  • The Agricultural Products (Control of Movement) Act
  • The Building Societies Act
  • The Institute of Finance Management Act
  • The Mzumbe University Act
  • The Land Act
  • The Village Land Act
  • The Privatisation Trust Act
  • The Production Development Funds Act
  • The Kariakoo Market Corporation Act
  • The Grass Fires (Control) Act
  • The Produce Export Act
  • The Tanzania Industrial Studies and Consulting Organisation Act
  • The Tanzania Industrial Research and Development Organisation Act
  • The National Milling Corporation Act
  • The Road Traffic Act
  • The Law Reform Commission of Tanzania Act
  • The Agricultural Inputs Trust Fund Act
  • The Exports Control Act
  • The Regions and Districts (Establishment Procedure) Act
  • The Public Order Act
  • The Potable Spirits (Compounding) Act
  • The Severance Allowance Act
  • The Security of Employment Act
  • The Deportation Act
  • The Traditional Liquor (Control of Distillation) Act

  • The Public Leadership Code of Ethics Act

Tatizo liko wapi sasa wanaoleteleza kuandaa miswaada au wabunge wanaopitisha sheria ambazo wanajua kamwe hazitafanya kazi? Kitu gani kifanyike ili kuepukana na tatizo hilo, wakati tukifikiria hivyo tusisahau kuwa sheria zote ni matakwa ya ruling classs, je ina maana ruling class inataka kujijengea ngome ya kisheria ili iendelee kuwa madarakani milele???
 
In which case, sheria hii ipo kwa ajili ya kuprotect CCM na baadhi ya cliue ndani ya CCM. Sasa tuseme wanaoisifia ambao wako chamani hawajui hilo? Mnyonge ambaye sheria hii haimsaidii afanye nini kuondokana na dhahama hii na udhalimu huu wa wazi.

Nimesoma juzi kwenye gazeti moja eti mkoani Kigoma Halmashauri ja jiji sijui wilaya imechangia CCM shs 70,000,000/= , mgeni rasmi akiwa waziri wa serikali za mitaa. Tukumbuke kuwa wakati wa kutoa fwedha hiyo tayari hii sheria imeshasainiwa hii imekaaje kwa sheria mpya? Naomba unizuje Buchanan.

Tatizo la nchi yetu wananchi na waoga kupindukia! Hata waliokuwa wanajiita wapambanaji wa vita ya ufisadi walipotishiwa kwamba wamepokea posho mbili kwa kazi moja wakafyata mkia. Wananchi wa kawaida ndio usiseme! Waoga kupita maelezo! Pia wananchi wengi hawako informed! Kwa hiyo wananchi waendelee kuelimishwa kuhusu mambo mbalimbali yaihusuyo nchi yao na Sheria kwa ujumla! Miongoni mwao watapatikana wazalendo wa kiukweli na mambo yatakuwa shwari!
 
Tatizo la nchi yetu wananchi na waoga kupindukia! Hata waliokuwa wanajiita wapambanaji wa vita ya ufisadi walipotishiwa kwamba wamepokea posho mbili kwa kazi moja wakafyata mkia. Wananchi wa kawaida ndio usiseme! Waoga kupita maelezo! Pia wananchi wengi hawako informed! Kwa hiyo wananchi waendelee kuelimishwa kuhusu mambo mbalimbali yaihusuyo nchi yao na Sheria kwa ujumla! Miongoni mwao watapatikana wazalendo wa kiukweli na mambo yatakuwa shwari!

Je wananchi ni waoga au ni njaa kali inayowasumbua, mimi nadhani ni njaa lakini tuchukulie kuwa ni woga nani ataenda kuwakomboa sheria ya uchaguzi inakataza kutoa elimu ya uraia na jukumu hilo kisheria liko kwenye tume ya uchaguzi, tume ambayo inamatokeo ya uchaguzi kabla haujafanyika.

Wafadhili ( the so called donnors) wao wapo mstari wa mbele kutoa fedha nyingi tu kwa ajili ya uchaguzi na masuala ya elimu ya uraia na wanaona kabisa kwamba hakuna seriousness kwenye elimu ya uraia. Hivi hawaoni kuwa hakuna uchaguzi wa kweli????
 
Tatizo liko wapi sasa wanaoleteleza kuandaa miswaada au wabunge wanaopitisha sheria ambazo wanajua kamwe hazitafanya kazi? Kitu gani kifanyike ili kuepukana na tatizo hilo, wakati tukifikiria hivyo tusisahau kuwa sheria zote ni matakwa ya ruling classs, je ina maana ruling class inataka kujijengea ngome ya kisheria ili iendelee kuwa madarakani milele???


Mzee, hakuna maswali mengi, utaratibu wa kutunga au kuhuisha sheria katika nchi yeyote ni lazima uanza e na "JUSTIFICATION" na anayepaswa "kuimove" sheria yeyote BUNGENI ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali (Nadhan sina haja ya kuongelea utendaji wa ofisi hii ya Mwanasheri Mkuu ambayo sasa hata tovuti ya kuelezea masuala yake sidhani kama ipo!) AG ndo kilanja wa Sheria katika nchi ukiona yupo hiv alivyo sijui wadau wangine watakuwaje!, kazi zake nyingi za kila siku zimekuwa no "business as usual" na inaonekana Ofisi hii nyeti imeshindwa hata kuiga mifumo kuendesha mamb yake hata toka nchi za wenzetu japo unaweza kukuta kila kukicha AG yupo nje ya nchi! .

Tuna Tume ya kurekebisha Sheria pia (LAW REFORM COMMISION OF TANZANIA" ambayo sina shaka awali ilikuwa chini ya ofisi ya AG na sasa ni kama chombo huru kinachojitegemea. Kwa mujibu wa madhimuni yake, TUME hii tulitegemea ndio chombo huru na cha msaada sana kwenye utafiti wa kuibua hoja kuhusu masuala maboresho ya sheria za nchi. Lakini cha kuskitisha, utendaji wa TUME hii kwa kweli ni afadhali ya "LEGAL AID SCHEME!" japo imewahi kuongozwa na wasomi waliobobea na majaji wenye heshima. Ukitembelea kwenye Tovutin yake http://www.lrct.or.tz/index.php. huwezi kusita kusema kuwa TUME hii haina jipya kabisa kwenye karne hii ya teknologia ya maendeleao na ni aibu hata kuwa na hiyo tovuti ambayo inaanika utendaji duni wa TUME YA KUREKEBISHA SHERIA ya nchi.

Waweza kulinganisha hapa:

Law Reform Commission of Tanzania
Law Reform Commission of Tanzania traces its inspirational background to the landmark Judicial System Review Commission now nostalgically referred to as the Msekwa Commission. In its report filed in 1977, the Msekwa Commission underscored the need for on the need to keep the laws of Tanzania constantly attuned to the changing Tanzanian society. No law, Msekwa Commission pointed out, which is not constantly nourished with new ideas, can be an effective instrument for revolutionary change in any society. Such a law will sooner than later become a mere irrelevance to society.

UPDATED ACTS OF TANZANIA?????
In 2008 the Law Reform Commission of Tanzania collaborated with the Office of Chief Parliamentary Draftsman and updated several pieces of legislation by incorporating amendments and repeals made on each piece of legislation. The updated pieces of legislation contained here are unofficial drafts awaiting formal approval and publication in the Official Gazette by the Chief Parliamentary Draftsman.?????? (NI KUSEMA TOKA "2009, hizi sheria bado hazipo officiated through Govt Gazette???)
Note: Most of the documents in this site were lastly uploaded between March to April, 2008 and no more updates.

Na kama unataka kujua kwa nini TUME haipo active, ona hawa ndo makamishina wa sasa wanaotajwa katika tovuti ya Tume ambao sijui kama bado wapo na wanaweza kuleta mabadiliko yoyote ya kutuwezesha kupamabna na changamoto zilizombele yetu katika sekta ya Sheria!.

BIBIOGRAPHY FOR COMMISSIONERS

FULLTIME COMMISIONERS:
chairman023.jpg

Hon. Judge Ibrahim H. Juma
Brief BIO
-----VACANT ????
------VACANT ?????

Mean two full time Commisioners yet to be appointed??....

mayesha.jpg

Hon Esther Manyesha
Brief BIO

PARTY TIME COMMSIONERS
Sinare.gif

Hon Dr. Hawa Sinare
Brief BIO
VACANT
mohammed_Ismail12.jpg

Hon Mohamed A. Ismail
Brief BIO
VACANT
pius_msekwa12.jpg

Hon Pius Msekwa
Brief BIO

OMalisa12.jpg

Hon Onel E. Malisa
Brief BIO
</H1>

Pengine tulipaswa kujifunza pia kwa wenzetu kama hivi na tukawa "up to date":

Law Commissions Act 1965 (UK)
1965 CHAPTER 22
Functions of the Commissions
(1) It shall be the duty of each of the Commissions to take and keep under review all the law with which they are respectively concerned with a view to its systematic development and reform, including in particular the codification of such law, the elimination of anomalies, the repeal of obsolete and unnecessary enactments, the reduction of the number of separate enactments and generally the simplification and modernisation of the law, and for that purpose -
(a) to receive and consider any proposals for the reform of the law which may be made or referred to them;
(b) to prepare and submit to the Minister from time to time programmes for the examination of different branches of the law with a view to reform, including recommendations as to the agency (whether the Commission or another body) by which any such examination should be carried out;
&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;.
&#8230;&#8230;.

(2) The Minister shall lay before Parliament any programmes prepared by the Commission and approved by him and any proposals for reform formulated by the Commission pursuant to such programmes.
(3) Each of the Commissions shall make an annual report to the Minister on their proceedings, and the Minister shall lay the report before Parliament with such comments (if any) as he thinks fit.
Law under Review

"... to take and keep under review all the law ..." (Law Commissions Act 1965, s 3(1)).
At any one time there are hundreds of consultations taking place across Government. We hope the information below will enable you to find your way around the maze of consultations, and to respond, if you wish, to the appropriate organisation.
Law Commission projects open for consultation.
The Law Commission has no responsibility for other organisations' projects, or for keeping the websites below up to date.
Scottish Law Commission projects open for consultation.
(Further details on Scottish consultations are available below)
A useful list of current consultations across Government can be found on the Directgov website at http://www.consultations.gov.uk/.

Law Reform Commission of Ireland.

The Commission is an independent body established under the Law Reform Commission Act 1975. Our purpose is to make recommendations for law reform so that the law reflects the changing needs of Irish society.

Since it was established, the Commission has published over 150 documents (Consultation Papers and Reports) containing proposals for law reform. View information on our publications.

70% of these proposals have resulted in reforming legislation.

The Commission is currently working on its Third Programme of Law Reform 2008-2014 which was prepared after extensive public consultation in 2007. The subjects currently being considered by the Commission include debt management and debt enforcement, the duties and rights of fathers, grandparents and the extended family, children and the law, professional home carers and alternatives to litigation to resolve disputes. See more information about our current projects

The Commission is also committed to ensuring greater accessibility to our laws. This includes preparing administrative consolidations of Acts, called Restatements, making it easier to see the up-to-date text of the law. The Commission is also responsible for updating the Legislation Directory, a searchable guide to amendments made to Acts. See more information about our Legislation Directory.


South African Law Reform Commission
The objects of the South African Law Reform Commission are to do research with reference to all branches of the law in order to make recommendations to Government for the development, improvement, modernisation or reform of the law. The Commission investigates matters appearing on a programme approved by the Minister of Justice and Constitutional Development. Reports and other documents published by the Commission are made available on the Commission's website for general information.
http://www.justice.gov.za/salrc/
What's New
2010.03.18- Visit by the Ugandan Human Rights Commission
2010.03.192010.03.17 - Issue Paper 27 and Media Statement (Electronic Evidence in Criminal and Civil Proceedings)
2010.03.202010.03.03 - Printed version of Reports for the following: Project 90: Customary law of succession; Project 123 Protected disclosures; Project 130 Stalking; Project 131 Trafficking in persons; en Project 134 Administration of estates (interim report)
2010.03.212010.02.26 - Newsletter: Volume 01 Issue 01 (March 2010)

 





UPDATED ACTS OF TANZANIA
In 2008 the Law Reform Commission of Tanzania collaborated with the Office of Chief Parliamentary Draftsman and updated several pieces of legislation by incorporating amendments and repeals made on each piece of legislation. The updated pieces of legislation contained here are unofficial drafts awaiting formal approval and publication in the Official Gazette by the Chief Parliamentary Draftsman.??????
Note: Most of the documents in this site were lastly uploaded between March to April, 2008 and no more updates.

</H1>
Kama nimekuelewa vizuri mkuu ina maana tume yetu ya kukarabati sheria haiendani na wakati au haitaki tu kuact kwa makusudi. Kama sio hivyo basi tatizo ni chief parliamentary draftsman.
 
Je wananchi ni waoga au ni njaa kali inayowasumbua, mimi nadhani ni njaa lakini tuchukulie kuwa ni woga nani ataenda kuwakomboa sheria ya uchaguzi inakataza kutoa elimu ya uraia na jukumu hilo kisheria liko kwenye tume ya uchaguzi, tume ambayo inamatokeo ya uchaguzi kabla haujafanyika.

Wafadhili ( the so called donnors) wao wapo mstari wa mbele kutoa fedha nyingi tu kwa ajili ya uchaguzi na masuala ya elimu ya uraia na wanaona kabisa kwamba hakuna seriousness kwenye elimu ya uraia. Hivi hawaoni kuwa hakuna uchaguzi wa kweli????

Njaa kali kwenye nchi nyingine huwafanya wananchi kuamka na kudai chao, lakini kwa Tanzania njaa inawafanya waisaliti nchi yao! Wafadhili achana nao kabisa kwa kuwa hawana nia njema na sisi hata kidogo!
 
Kama nimekuelewa vizuri mkuu ina maana tume yetu ya kukarabati sheria haiendani na wakati au haitaki tu kuact kwa makusudi. Kama sio hivyo basi tatizo ni chief parliamentary draftsman.

Know man, CPD ni mwandishi tu wa Sheria, yeye yupo chini ya mwanasheria Mkuu wa Serikali, kama ni kuhusika kwa utafiti wa Sheria, CPD anafanya kazi ya AG. Kifungu cha 12 cha Sheria ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (The Office of The Attorney General (Discharge Of Duties) Act Cap.
268 chasomeka, kama navyonukuu :

" 12
(1) The Attorney General shall, through the Chief Parliamentary Draftsman, define drafting instructions and exercise exclusive mandate on drafting legislative proposals into Government Bills" (empasis supplied)

(2) Where drafting instructions are received, the Chief
Parliamentary Draftsman shall draft legislative proposals for approval by
the Cabinet.

(3) Where the Cabinet approves the draft legislative proposals, the Chief Parliamentary Draftsman shall cause the Bill to be published in the
Gazette.

(4) The term "drafting instructions" as used in this section means,
directives given by the Cabinet for drafting legislative proposals into a Bill
or by an authority delegated by Parliament through an enactment to make a
subsidiary legislation.

Kwa maana nyingine ni kuwa mijadala ya kuhusu maboresho inapaswa kuanzaia kwa sekta/wadau husika lakini pia TUME ya kurekebisha sheria inatakiwa kuwa na muundo wa kuweza kufanya kazi kwa kuhusisha kwa karibu wadau. kwa mafano, ukirejea katika updates news za TUME ya kurekebisha sheria, waweza ona kuwa wanataka wadau watoe maoni kuhusu andiko la marekebisho ya sheria za sekta ya kilimo (posted since last year),na bado wito upo kwenye tovuti, kazi hii ya tume ilipaswa kufanyika katika mwaka wa fedha wa 2008/2009 kwa maelezo haya:

REVIEW OF AGRICULTURAL LAWS is one of the Projects the Law Reform Commission will be undertaking during 2008/2009 Financial Year. The review will lead to the preparation of appropriate law reform recommendations to the Minister of Constitutional Affairs and Justice. Members of the public are invited to write their comments, suggestions or submissions to the Commission on how best to carry forward the proposed project to review the agricultural laws of Tanzania



.​



Haijulikani ni utaratibu upi TUME walitumia kuibua hilo andiko na na kutenga fedha za kufanya kazi katika mwaka wa fedha wa 2008/2009, haijulikani pia ni hatua gani wamefikia na wadau wameusikaje katika kazi hii kwani mapendekezo yanayotolewa kuhusu marekebisho hayo ya sheria kwa mfumo wa andiko ni dhairi yanalenga kwa kukidhi madhumuni fulani na fedha za umma sina shaka zishalambwa kwa kazi hiyo ambao bado haina tija.

Hapa nataka kukupa mfano wa wazi kuwa TUME ya kurekebisha sheria haipo makini hata kwa kazi zake na watendaji wake wanakula tu fedha za umma.

Kwa mfano katika andiko la kupitia sheria za sekta ya kilimo inataja kurekebisha sheria zifuatazo ambazo kwa utafiti mdogo tu niliofanya saa nimebaini kuwa zilikwisha rekebishwa na kufutwa au ambazo hazipo "citation yake si sahihi kwenye vitabu vya sheria za Tanzania:


  1. Tanzania Cotton Marketing Board Act, 1984 - (sheria hii haipo kabisa. kwa utafiti wangu, nimeweza kuona tu sheria ya "Tanzania Cotton Lint and Seed Board Act 1984 ambayo ilifutwa mwaka 2001 na sheia ya THE COTTON INDUSTRY ACT, No. 2 of 2001....http://www.parliament.go.tz/Polis/PAMS/Docs/2-2001.pdf)
  1. Tanzania Pyrethrum Board Act, 1997 ( Katika vitabu vya Sheria, ipo sheria ya " The Pyrethrum Act,No.1 of 1997 http://www.parliament.go.tz/Polis/PAMS/Docs/1-1997.pdf ) Haikua hiyo inayotajwa kwa jina la "Tanzania Pyrethrum Board Act, 1997".
  2. Fertilizers and Animal Foodstuffs Act, 1962. - {CAP. 378, RE 2002} (Bunge lilikwisha jadili Mswaada wa Sheria ya Mbolea ("Fertilizer Act, 200 ambao ulilenga kufuta sheria ya Mbolea ya mwaka 1962 tokea tarehe 21 Nov 2008. Hata hivyo, TUME bado inaleta andiko ambalo linaiweka sheria ya Mbolea kwenye orodha za sheria za kurekebisha) http://www.parliament.go.tz/POLIS/BTS/general/GENERAL_FR.asp?fpkey=17-2008
  3. Protection of New Plant Varieties (Plant Breeders' Rights) Act, 2002 - (Act No. 22) - {CAP.344, RE 2002}; (still the same and it is not stated well why this Law is intended for review, otherwise, is just a listing style.)
  4. Produce Export Act, {CAP. 137 R.E. 2002} - (still the same).
Nina shaka kubwa katika uwezo wa hii Tume!.

 
Back
Top Bottom