Kulikuwa na uzi humu ndani jana kuhusu mwalimu huko kusini ambaye kafungwa miaka mingi sana na leo hii nimekutana na habari nyingine ya watu watatu huko Bunda kufungwa miaka mingi kwa kukutwa na nyara za serikali.
Ninajiuliza ni kwa nini hasa sheria zinakuwa kali kiasi hiki kwa baadhi ya watu wakati kwa wengine wanaofanya makosa kama hayo inakuwa ni kama sheria hazipo?
Nimelinganisha hili la kukutwa na nyara za serikali na lile la wanyama kusafirishwa kwa ndege kule KIA. Tujadili.
Ninajiuliza ni kwa nini hasa sheria zinakuwa kali kiasi hiki kwa baadhi ya watu wakati kwa wengine wanaofanya makosa kama hayo inakuwa ni kama sheria hazipo?
Nimelinganisha hili la kukutwa na nyara za serikali na lile la wanyama kusafirishwa kwa ndege kule KIA. Tujadili.
| |
|