Sheria za kuvaa suti hizi hapa

Think Hard

JF-Expert Member
Feb 12, 2015
318
303
SHERIA ZA KUVAA SUTI:
1. Usikimbie hovyo.
2. Usinyoe kiduku
3. Usitembee kwa mguu mda mrefu labda mita 2
4. Usipande toyo baskeli au fuso hata kama ni lifti.
5. Usibebe malboro ni brief case tu.
6. Usile ovyo ovyo barabarani sana sana maindi ya kuchoma au mihogo.
7. Usivae suti na ndala au yebo yebo au raba. Labda all star nyeusi tu.
8. Marufuku kutembea haraka haraka kama masai alotumwa apeleke rungu mahali.
9. Marufuku kugombana na kondakta kisa anataka kukutapeli shilingi mia dai kwanzia mia tatu.
10. Ukitembea weka mkono mmoja mfukoni.
11. Usiongee ovyo ovyo.
12. Jitahidi kukaa mbele ukipanda dala dala.
13. Usivae suruali ya suti mlege ni kinyaa.
14. Kama unatembeaga kama unapanda mlima sku iyo jitahidi kunyooka then dunda kidogo.
15. Ukikutana na rafiki zako umezoea kuwapa tano siku hiyo shake hands.
16. Ukivaa suti hakikisha unanukia.
17. Ukikaa mahali popote hakikisha unakunja nne.
18. Usivae vitu kama culture au mipete isiyoeleweka kama umeoa vaa ya ndoa tu kama bado kaa ivyo ivyo.
19. Ni laana kuuliza mtu barabarani ni saa ngapi vaa saa tena ya mshale. Mkonyezo ni mwiko.
20. Ukikaa hotel ukaagiza kinywaji ni marufuku kunywa na chupa.
21. Usivae koti la suti ambalo halijachanwa nyuma litakua ni mfuko wa mashine sio suti.
22. Usivae mkanda wenye bakoli yenye bomu sjui bunduki au fuvu au picha ya obama vaa mkanda wa kawaida unaoeleweka na sio wa begi.
23. Usikumbatie watu unaowafaham ovyo just shake hands just that.
24. Kama una matege usivae mnyonyo.
25. Kama unakitambi usifunge koti utaonekana kama furushi la bangi.
26. Kata kucha nyoa ndevu. B smart.
 
Kama kuna mtaalamu wa mambo ya suti naomba anisaidie,kuhusu rangi za suti ili nijue rangi ya suti huvaliwa kwenye sherehe zipi au kazini natakiwa nivae suti rangi gani kwa siku ipi
 
Kama kuna mtaalamu wa mambo ya suti naomba anisaidie,kuhusu rangi za suti ili nijue rangi ya suti huvaliwa kwenye sherehe zipi au kazini natakiwa nivae suti rangi gani kwa siku ipi

Kwanza rangi ya suti inaenda na rangi yako.

Pili kuna aina za suti zinategemea na occassions, kuna suti za kwaya, harusi, mikutano na ile ya general use. Huwezi vaa tuxedo ofisini.

Kwa ujumla, suti nyeusi au deep dark blue ni ishara ya 'authority'. Ndo maana mara nyingi zinavaliwa kwenye mikutano ya kimataifa au inayohusisha top government au business officials.

Pia, kuna uwezekano wa kuchagua rangi nyingine ila isiwe 'noise' colour kama nyekundu, nyeupe, kijani, njano.

Kwa beginners au wasio na kipato kikubwa cha kukufanya umiliki suti nyingi ili uendane na occassions basi nunua zile zenye rangi ambazo unaweza kuvaa kwenye occassions nyingi still huharibu maana.
 
Mtu mweusi anapendeza akiwa ndani ya rangi gani????
Wat about glasses na sut??
Shades zinakaaje hapo??
 
Mtu mweusi anapendeza akiwa ndani ya rangi gani????


Wat about glasses na sut??

Shades zinakaaje hapo??
Avae Dark Blue
bdc8a90893ce05fa448e0918316f5cea.jpg
Unaona hapo japo hajavaa glasses
 
Kwanza rangi ya suti inaenda na rangi yako.

Pili kuna aina za suti zinategemea na occassions, kuna suti za kwaya, harusi, mikutano na ile ya general use. Huwezi vaa tuxedo ofisini.

Kwa ujumla, suti nyeusi au deep dark blue ni ishara ya 'authority'. Ndo maana mara nyingi zinavaliwa kwenye mikutano ya kimataifa au inayohusisha top government au business officials.

Pia, kuna uwezekano wa kuchagua rangi nyingine ila isiwe 'noise' colour kama nyekundu, nyeupe, kijani, njano.

Kwa beginners au wasio na kipato kikubwa cha kukufanya umiliki suti nyingi ili uendane na occassions basi nunua zile zenye rangi ambazo unaweza kuvaa kwenye occassions nyingi still huharibu maana.
28a7a1bdbca3a374a0a36c6ec1a2de2b.jpg
 
SHERIA ZA KUVAA SUTI:
1. Usikimbie hovyo.
2. Usinyoe kiduku
3. Usitembee kwa mguu mda mrefu labda mita 2
4. Usipande toyo baskeli au fuso hata kama ni lifti.
5. Usibebe malboro ni brief case tu.
6. Usile ovyo ovyo barabarani sana sana maindi ya kuchoma au mihogo.
7. Usivae suti na ndala au yebo yebo au raba. Labda all star nyeusi tu.
8. Marufuku kutembea haraka haraka kama masai alotumwa apeleke rungu mahali.
9. Marufuku kugombana na kondakta kisa anataka kukutapeli shilingi mia dai kwanzia mia tatu.
10. Ukitembea weka mkono mmoja mfukoni.
11. Usiongee ovyo ovyo.
12. Jitahidi kukaa mbele ukipanda dala dala.
13. Usivae suruali ya suti mlege ni kinyaa.
14. Kama unatembeaga kama unapanda mlima sku iyo jitahidi kunyooka then dunda kidogo.
15. Ukikutana na rafiki zako umezoea kuwapa tano siku hiyo shake hands.
16. Ukivaa suti hakikisha unanukia.
17. Ukikaa mahali popote hakikisha unakunja nne.
18. Usivae vitu kama culture au mipete isiyoeleweka kama umeoa vaa ya ndoa tu kama bado kaa ivyo ivyo.
19. Ni laana kuuliza mtu barabarani ni saa ngapi vaa saa tena ya mshale. Mkonyezo ni mwiko.
20. Ukikaa hotel ukaagiza kinywaji ni marufuku kunywa na chupa.
21. Usivae koti la suti ambalo halijachanwa nyuma litakua ni mfuko wa mashine sio suti.
22. Usivae mkanda wenye bakoli yenye bomu sjui bunduki au fuvu au picha ya obama vaa mkanda wa kawaida unaoeleweka na sio wa begi.
23. Usikumbatie watu unaowafaham ovyo just shake hands just that.
24. Kama una matege usivae mnyonyo.
25. Kama unakitambi usifunge koti utaonekana kama furushi la bangi.
26. Kata kucha nyoa ndevu. B smart.
 
SHERIA ZA KUVAA SUTI:

1. Usikimbie hovyo.

2. Usinyoe kiduku

3. Usitembee kwa mguu mda mrefu labda mita 2

4. Usipande toyo baskeli au fuso hata kama ni lifti.

5. Usibebe malboro ni brief case tu.

6. Usile ovyo ovyo barabarani sana sana maindi ya kuchoma au mihogo.

7. Usivae suti na ndala au yebo yebo au raba. Labda all star nyeusi tu.

8. Marufuku kutembea haraka haraka kama masai alotumwa apeleke rungu mahali.

9. Marufuku kugombana na kondakta kisa anataka kukutapeli shilingi mia dai kwanzia mia tatu.

10. Ukitembea weka mkono mmoja mfukoni.

11. Usiongee ovyo ovyo.

12. Jitahidi kukaa mbele ukipanda dala dala.

13. Usivae suruali ya suti mlege ni kinyaa.

14. Kama unatembeaga kama unapanda mlima sku iyo jitahidi kunyooka then dunda kidogo.

15. Ukikutana na rafiki zako umezoea kuwapa tano siku hiyo shake hands.

16. Ukivaa suti hakikisha unanukia.

17. Ukikaa mahali popote hakikisha unakunja nne.

18. Usivae vitu kama culture au mipete isiyoeleweka kama umeoa vaa ya ndoa tu kama bado kaa ivyo ivyo.

19. Ni laana kuuliza mtu barabarani ni saa ngapi vaa saa tena ya mshale. Mkonyezo ni mwiko.

20. Ukikaa hotel ukaagiza kinywaji ni marufuku kunywa na chupa.

21. Usivae koti la suti ambalo halijachanwa nyuma litakua ni mfuko wa mashine sio suti.

22. Usivae mkanda wenye bakoli yenye bomu sjui bunduki au fuvu au picha ya obama vaa mkanda wa kawaida unaoeleweka na sio wa begi.

23. Usikumbatie watu unaowafaham ovyo just shake hands just that.

24. Kama una matege usivae mnyonyo.

25. Kama unakitambi usifunge koti utaonekana kama furushi la bangi.

26. Kata kucha nyoa ndevu.

Tuwe smart!
 
Back
Top Bottom