stanluva
Senior Member
- Apr 7, 2009
- 153
- 32
Wajuzi wa sheria naomba kusaidiwa hili! Hivi sheria inasemaje kuhusu uhamisho wa mfanyakazi kutoka Kituo kimoja hadi kingine hasa kama anafuata familia yake! Je kuna sehemu yeyote inayo mlazimisha mfanyakazi kutafuta wa kubadilishana naye kituo ndipo ahame?
Maana wengine tunapoteza haki zetu ya mfanyakazi kwa kutojua sheria! (Maana waajiri wamekua mstari wa mbele kuzuia wafanyakazi kudai haki zao).
Kwa ujumla, sisi kama wafanyakazi tunapoomba uhamisho ili kuwa karibu na familia familia zetu, wanaohusika na idara fulani fulani wanasema lazima tutafute wa kubadilishana nao la sivyo hatutaweza kuhama.
Je sheria ina lolote kuhusu habari hii?
Maana wengine tunapoteza haki zetu ya mfanyakazi kwa kutojua sheria! (Maana waajiri wamekua mstari wa mbele kuzuia wafanyakazi kudai haki zao).
Kwa ujumla, sisi kama wafanyakazi tunapoomba uhamisho ili kuwa karibu na familia familia zetu, wanaohusika na idara fulani fulani wanasema lazima tutafute wa kubadilishana nao la sivyo hatutaweza kuhama.
Je sheria ina lolote kuhusu habari hii?