Sheria ya utumishi wa umma ikoje juu ya umri wa Dkt. Slaa?

Km ndiye maana alizaliwa mwaka 1948 basi kaweka rekodi ya kipekee bongo !
0c273f14acd8da2e6614c3d8ecd282f5.jpg
 
By the way, hili la Dakta Slaa vipi kuhusu umri ? Coz nakumbuka kuna kipindi Mabalozi walistaafishwa baada kuufikia umri huo wa kustaafu.

Sasa dakta Slaa ni vipi! Na kwani umri wa kustaafu Mabalozi si ni sawa na watumishi umma wengine! Maana dakta Slaa alizaliwa 29/10/1948 so ana miaka 69 sasa....Hapa imekaaje! Najaribu kuwaza tu na wala simuonei 'wivu' dakta Slaa......

Umesahau kuwa hii ni serikali ya'Magu',mwaswali hayo yana nafasi kwenye serikali ya MCC
 
anyway keep on lamenting while the nest is getting empty!!!
Nobody is lamenting and by the way, the question was….Is the appointment constitutional if you are to weight his age Vs government legislation on age restrictions. Dr. Slaa had already distanced himself with party politics so got no effect when it comes to party politics.
 
simple logic
mfano:-
askari wa jwtz umri wa mwisho wa utumishi jeshini ni 55- 60 years old up to 65 ( special veterans). Halafu anateuliwa kuwa mkuu wa wilaya au mkoa au katibu wa wizara, why? ina maana ni makosa kisheria? au ni sahihi?

Katibu wa wizara hajawahi wekwa aliyezeeka kupitia umri wa kustaafu ile miaka 60,permanent secret ni mtumishi kama wengine fuatilia afu utaleta mrejesho hapa,anawapeleka uko ambayo wapo kazini uko jeshini siyo waliostaafu

Ila kwenye nafasi za kisiasa kama ukuu wa mkoa na wilaya uko sawa maana wanaendaa kusimamia utekelezaji wa ilani ya chama cha mapinduzi tu

Ila huwezi sikia DED/katibu tawala mkoa kwa maana RAS/katibu tawala wilaya DAS na makatibu wa wizara wote hawapelekwi wazee wote wako under 60 yrs rais hayuko juu ya sheria
 
Mkuu mbona unachanganya mambo1 Umeulizwa kama kuna mstaafu unamjua ameteuliwa kuwaKatibu Mkuu wa Wizara....Uwaziri sio utumishi wa Umma kaka, hiyo ni nafasi ya kisiasa na unaipata kama wewe ni mbunge wa kuteuliwa au wa kugombea jimbo ama wa Viti maalum. Ukatibu Mkuu hautokani na wewe kuwa mbunge bali ni nafasi katika utumishi wa Umma.


Kashindwa kutofautisha haya mambo
 
tofautisheni vitu hivi:-
1.Utumishi wa umma wa kuajiriwa( mfano ualimu, uuguzi, uaskari n.k) huu una ukomo wa kisheria wa utumishi na kustaafu.

2. utumishi wa kuteuliwa, huu hauzingatii umri wa kusheria kustaafu, mfano mkuu wa wilaya, mkoa, waziri, balozi n.k

Rais yupo sahihi, kwa hiyo pambaneni na hali zenu wajomba!!

Mbona juzi Akins zelothe mkuu wa mkoa wa ruksa kastafu kwa sababu ya umri
 
Mbona bilali.alikuwa na.umri uo,

Mbona wazee wengi kama mwakanjuki ni balozi ana miaka 72, iwe kwa dk slaa mwenye 69
 
By the way, hili la Dakta Slaa vipi kuhusu umri ? Coz nakumbuka kuna kipindi Mabalozi walistaafishwa baada kuufikia umri huo wa kustaafu.

Sasa dakta Slaa ni vipi! Na kwani umri wa kustaafu Mabalozi si ni sawa na watumishi umma wengine! Maana dakta Slaa alizaliwa 29/10/1948 so ana miaka 69 sasa....Hapa imekaaje! Najaribu kuwaza tu na wala simuonei 'wivu' dakta Slaa......
Sheria inaruhusu kufanya kazi kwa mkataba maalum baada ya umri wa kustaafu kufika
Mwamunyange aliongezewa muda mara mbili baada ya kustaafu Jk alitaka amalize nae,na Magufuli akampa tena mkataba ili asome mchezo kwanza
 
Kwa ufahamu wangu mimi Ubalozi unaangukia kwenye utumishi kama ualimu, uuguzi, n.k. Hivyo muda wa kustaafu ni miaka 60.
May be umesahau.....huyuhuyu Jamaa alistaafisha mabalozi na moja ya sababu iliyotolewa ni umri
 
By the way, hili la Dakta Slaa vipi kuhusu umri ? Coz nakumbuka kuna kipindi Mabalozi walistaafishwa baada kuufikia umri huo wa kustaafu.

Sasa dakta Slaa ni vipi! Na kwani umri wa kustaafu Mabalozi si ni sawa na watumishi umma wengine! Maana dakta Slaa alizaliwa 29/10/1948 so ana miaka 69 sasa....Hapa imekaaje! Najaribu kuwaza tu na wala simuonei 'wivu' dakta Slaa......

Mtengue boss.
Wachawi bwana huwa hawajifichi
 
tofautisheni vitu hivi:-
1.Utumishi wa umma wa kuajiriwa( mfano ualimu, uuguzi, uaskari n.k) huu una ukomo wa kisheria wa utumishi na kustaafu.

2. utumishi wa kuteuliwa, huu hauzingatii umri wa kusheria kustaafu, mfano mkuu wa wilaya, mkoa, waziri, balozi n.k

Rais yupo sahihi, kwa hiyo pambaneni na hali zenu wajomba!!
Makatibu wakuu pia ni wateuliwa wa rais na wana staafu wakifika 60
 
Mara kadhaa tumeona mabalozi wakistaafu baada ya kufikia umri fulani na kurejeshwa nchini.
Sasa je, kwa hili la Dr.Slaa sijui limekaaje?
 
Back
Top Bottom