mij
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 1,993
- 2,106
jidanganye.. kama balozi nao wamehakikiwa vyeti kama watumishi wa ualimu, uuguzi n.k..
mtumishi yeyote wa kuteuliwa na rais sio level ya walimu
Kwa hiyo Makatibu wa Wizara na Mawaziri nao vveti vyao havikuhakikiwa kwa sababu wameteuliwa na Rais? Au umesahau Waziri Kabudi naye alihakikiwa ?